safiiii ni nzuri sana hii "vyombo vya sheria vichukue mkondo wake" sasa mbn mnalalamika wadau?Chagueni tena system iliyopo watabadilisha hizo sheria kwa hati ya dharura mwaka 2020 June........."ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA ..."
Kwani kukanusha tuu ndio kunaweka facts hadharani??
Haya kama ni hivi na sie watanzania tunakanusha basi taarifa ya Usalama wa Taifa kutohusika, kwa hio what is the final stand??
Mie nina suggestion moja kuwa kikao kijacho cha bunge kisiwe na swala jingine la kujadili zichambuliwe report zote...
waacheni waliochaguliwa na wananchi wamalizie muda wa miaka 5 waliopewa na wananchi wa majimbo wao (mawaziri), na rais chaguo la Mungu aliyechaguliwa na waTanzania (kumbuka repoti za baada ya uchaguzi mpaka za viongozi wa dini)
Tuombe uchaguzi ujao waTanzania tujue kuchagua makapi then...
acheni kuchangia mambo ambayo hayana tija kwa sasa, wana JF tuzungumzie kuhusu tutoke vipi na siasa za bongo nchi ikombolewe sio habari za kujadili shule namiaka ya watu ambao wameshafanya mambo yanayoonekana kwa jamii, Issue ya Maji marefu aka Prof kuwa darasa la saba kwani ni mbunge wa...
sasa we uliyeweka hii thread unatofauti gani na aliyuosema Masaburi kuwa utakuwa ndio unachotumia kufikiri....unakumbuka kebehi na kurudia neno hilo mara zaidi ya 4 halafu husemi kebehi hizo sana sana umemtaja Ulimwengu, kwani ulimwengu ni nani kwenye siasa ya Tanzania??
Unajaribu kuwa"derail"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.