Lisu haendi na wakili wake atasema lisu yuko dodoma karejesha fomu ya kugombea uraisi kwahiyo kesi ipangiwe tarehe nyengine chezea lisu wewe Mara hii ccm njama zenu zote zishajulikana
Ndio mukammiminia mvua ya risasi katika majengo Yale ya bunge walinzi mukawaondoa CCTV camera mukaziondoa mukamvua ubunge mukazuiya kumtibu mukalazimisha apelekwe muhimbili mukammalize kabisa lakini mukafeli mwisho mukaziya wabunge wenu wasiende kumuangalua na kumjuilia hali lisu
Mbona unaumia sana na lisu kwani mbona humtaji jiwe yy hakwenda lipumba Hashim mzee wa ubwabwa cck UDP wote hawakwenda unadili na lisu kama aliyekuzalisha njee ikawa hakuketeei huduma ya mtoto kila wakati una mtaja taja
Baadhi hawajitambui kama wale bakwata waliounga juhudi juzi badala ya kuwapigania mashehe waliyowekwa ndani Wenda weka sifa za kijinga zisizo symtahiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.