Search results

  1. K

    Uchaguzi 2020 Lissu anakatwa na NEC kwa kipengele kipi cha Sheria?

    Sisi hatuna mahakama tuna matawi ya ccm inayosimamia kesi ya akwelina na kabendera
  2. K

    Mamlaka ya Usalama wa Anga Tanzania (TCAA) imewataka wamiliki wa 'drones' kuzisajili ndani ya siku 4

    Kwahiyo mpaka vile vishada wanavotengeza watoto pia vikasajiliwe
  3. K

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

    Mabeberu nikina nani au niwale wanaowafundisha jeshi letu na kuwapa misaada ya magari na vifaru???
  4. K

    Lissu awaalika Wananchi wa Dar na mikoa ya jirani kufika Mahakamani Kisutu kwa wingi tarehe 26 kusikiliza shauri lake

    Mahakama imeanza kuzaraulika tangu ile kesi ya akwelina na kabendera
  5. K

    Lissu awaalika Wananchi wa Dar na mikoa ya jirani kufika Mahakamani Kisutu kwa wingi tarehe 26 kusikiliza shauri lake

    Lisu haendi na wakili wake atasema lisu yuko dodoma karejesha fomu ya kugombea uraisi kwahiyo kesi ipangiwe tarehe nyengine chezea lisu wewe Mara hii ccm njama zenu zote zishajulikana
  6. K

    Uchaguzi 2020 Tunduma yazuka vurugu na mabomu ya machozi yapigwa na polisi

    Kwani wamachinga wao siyo binaadamu
  7. K

    Uchaguzi 2020 Tunduma yazuka vurugu na mabomu ya machozi yapigwa na polisi

    Dk sheni mwaka 2010 aligaiwa urais wa Zanzibar na ilikua hatakitambulisho cha kupiga kura hana
  8. K

    Uchaguzi 2020 Tunduma yazuka vurugu na mabomu ya machozi yapigwa na polisi

    Kama mama ako alivo lishwa dira na kofia za ccm
  9. K

    Watatutangaza tu

    Kupendwa hasaraha huyu jaamaa ananyota kama ya maalim seif
  10. K

    Uchaguzi 2020 Lipumba, Shibuda kutumika kumdhibiti Lissu asigombee Urais?

    Kawahiyo yule aliyokua akihutubia pekeyake yy na kebinet ya chama chake tu ilikua akitangaazaa nini
  11. K

    Unahisi huu utakuwa ni mtandao gani?

    Ccm hata rangi ya chupa inaonekana
  12. K

    Utapeli wa Lissu: Majimbo ya uchaguzi yako 264 yeye katembelea 20 anasema katembea nchi nzima na anapendwa nchi nzima!!

    Ndio mukammiminia mvua ya risasi katika majengo Yale ya bunge walinzi mukawaondoa CCTV camera mukaziondoa mukamvua ubunge mukazuiya kumtibu mukalazimisha apelekwe muhimbili mukammalize kabisa lakini mukafeli mwisho mukaziya wabunge wenu wasiende kumuangalua na kumjuilia hali lisu
  13. K

    Uchaguzi 2020 Lissu akwepa kwenda Zanzibar, hao wadhamini kawapataje?

    Mbona unaumia sana na lisu kwani mbona humtaji jiwe yy hakwenda lipumba Hashim mzee wa ubwabwa cck UDP wote hawakwenda unadili na lisu kama aliyekuzalisha njee ikawa hakuketeei huduma ya mtoto kila wakati una mtaja taja
  14. K

    Lissu hapa umetupotosha na kumdanganya Umma

    Sasa nyinyi ccm hua mwasema ni uchochezi na kuleta taharuki yy kashaongea sasa kamkamateni simuna ringia dola nynyi
  15. K

    Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

    Baadhi hawajitambui kama wale bakwata waliounga juhudi juzi badala ya kuwapigania mashehe waliyowekwa ndani Wenda weka sifa za kijinga zisizo symtahiki
Back
Top Bottom