Kuna kitu tunamiss hapa!! Kama kweli wananchi wengi wanaangalia bunge! It means coverage ni kubwa!! na ni fursa kwa TV station kuingia! Matangazo yatalipa! TV binafsi ziombe fursa hiyo!! Then tupime!! other kama ndio kodi za wananchi zinatumika tu evaluate tija yake!! Kumbukeni tunabana matumizi...
Nimenunua na kutumia kwa wiki moja na nusu tu. sasa hai detect simcard yoyote, vile vile ukijaribu IMEI inatoa null/null ni kama haina IMEI namba. tafadhali kwa anaejua tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.