Kwasababu kumjua Mungu hakuhitaji akili za kibinadamu, ko nitakapokuwa nathibitisha kwamba Mungu aliwahi tembea dunia kama binadamu utakataa kwakuwa hakutakuwa na ushahidi wa kuonekana kwa macho.
Lakini pia nitatumia biblia kama kitabu cha rejea nitakapokuwa nakuthibitishia hilo jambo.
Je...
๐๐๐ Jua linatembea kila siku kutoka nukta moja hadi nyingine na dunia imetulia hapa katikati tunaiona kabisa iko tulivu, unataka uthibitisho gani mwingine kuwa Jua linatembea kuizunguka dunia yetu nzuri tulivu?
Vitu vingine havihitaji hata nguvu kuvielewa ndugu zangu, Jua linatembea na tunaliona linavyotembea kwa macho yetu ya nyama, linatoka huko mnakokuita mashariki linazamia huko mnakokuita magharibi na dunia iko imetulia, jua linaizunguka dunia yetu nzuri kabisa tulivu!
Wakati mwingine mtu anaweza akawa anashikilia msimamo asiojua hata uhakika wake kiasi kwamba unabaki kumuangalia tu na kumuombea kwa Mungu amuamshe kutoka usingizini.
Gravity ni jina lililopewa kwa ile nguvu (kani) inayovuta vitu kuelekea kwenye kitovu cha dunia.
Newton anatuambia kwamba hapa ulimwenguni (All over the universe) kila kitu kinavuta kila kitu kingine kwa Force ambayo inabadilika nguvu yake kwa uwiano kati ya zao la uzito wa hivyo vitu viwili...
4. Force of gravity ndiyo inasababisha mkengeuko kwenye hivyo vitu vinavyo move angani.
5. Kasi ya jua tu kuzunguka dunia ndiyo inasababisha urefu wa usiku na mchana kubadilika badilika.
6. Orbit ya Jua kuwa Elliptical (Duara dufu) na sio (Duara la kawaida lenye kipenyo kisichobadilika)...
Hiyo bangi unayovuta ni hatari, ko jua kuchomoza na kuzama ndiyo kitu cha kukuonesha kwamba dunia ina move? Ko wewe ukichukua kitabu ukakining'iniza hewani halafu sisimizi ukamuweka juu ya hicho kitabu, baadaye ukaanza kuzunguka hicho kitabu katika nyuzi 360ยฐ, huyo sisimizi atajitungia kwamba...
Ko huyo mwanamke alipokuwa anasaliti alikuwa hafikirii kesho ya watoto wake endapo mumewe atajua?
Kwanini mtendwa tu ndiyo mnamkumbusha sana suala la fyucha ya watoto?
Watoto ataendelea kuwahudumia tu, ila mwanamke msaliti kuvumilika ni ngumu aisee!
Sio kazi rahisi kama mnavyofikiria vijana na jinsi wanaume tulivyo na wivu hivi ๐๐๐๐ Mtasababisha mmama wa watu siku moja anyongwe huko hayaa nyie lazimisheni watu hivyohivyo kuishi na watu waliovunja mioyo yao na ikavuja damu.
Ndugu yangu watoto atakuwa anawatembelea tu kwa mama yao tena...
Hata za ACTION zipo zenye uhalisia na maisha yetu ya kila siku, mimi hata kabla sijafahamu hiki kitu cha VFX nilikuwa sio mpenzi wa muv zenye vitu vya kufikirika, napenda ACTION MOVIES ila zenye vitu ambavyo vinawezekana kwenye maisha halisi, mfano SรZ hakuna sehemu patanifanya nigune kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.