jamani hivi bado tunahitaji kujiuliza utanganyika na uzanzibar? leo hii ulaya mataifa makubwa yanaungana sisi bado tunawaza kujitenga kweli tutaweza kuwa na africa union? matajiri na wenye nguvu wanaungana nyie maskini na dhaifu mnatengana :spy:?
Hao askari ni ndugu zetu watoto wetu baba zetu mama zetu wajomba zetu babu zetu na kadhalika tunachodai kina maslahi kwao vilevile sasa sioni sababu ya kuwachukia ila tu nikuwaelimisha kwani kiapo ndicho kinachowasumbua ila ipo siku na wao watachoka na magamba na kuamua kufuata njia iliyo sahihi...
Kwa hilo nitatofautiana na wewe kwanza kwa kushindwa binafsi imeniuma ila uzalendo haukuwepo binafsi nilifanya kampeni kwa kutengeneza tangazo lililokwenda nchi sita za africa mashariki lakini serikali ya ccm haikunipa support yoyote hii imeniuma!
Makamanda wa chadema walio na hasira na madudu yanayofanywa na ccm kuhusu katiba mpya waamua kukacha kikao baada ya wehu hawa kushindwa kufanya maamuzi magumu
Tatizo sio wao tatizo kiapo walichoapa cha kuwa watiifu kwa mkuu hata kama anamchukua wife inabidi atii tu.leo cha kati kimetoka hvyo wamesahau shida.(Cha kati ni posho)kwa wale mlioishi kota mnafaham
tatizo bado katika jamii yetu kuna makombo bado ya watu wachache wanaofikiri kuwa haya maisha ni yao tu, wamesahau kwamba ipo siku mabadiliko ya kweli yatakuja sijui wataishi wapi na vizazi vyao, walikuwepo watu mashuhuri wenye nguvu lakini leo wako wapi? historia itawahukumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.