Search results

  1. K

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Hii inaonyesha jinsi ccm inavyocheza rafu kwenye chaguzi. juzi kijitonyama diwani, leo Arusha. hiki chama cha majambazi kina mwisho wake
  2. K

    Mgomo wa madaktari, natamani LOWASA wakati huu angekuwa Rais au Waziri Mkuu

    Kweli Watanzania tumelogwa.Amekuwa kiongozi kwa muda mrefu na kashfa nyingi, hafai kuwa kiongozi.Then kuna kikundi kinafadhiliwa kinapotosha watz kwa kampeni chafu kuwa atakuwa kiongozi hodari.HATUFAI HUYU MTU.
  3. K

    HESLB Wanavyotafuna Mikopo na Uchunguzi wa Bodi 2011

    Tanzania imelogwa. Hii issue ya board na mikopo ya wanafunzi imekuwa ni ya wanafunzi tu, kwa wenzetu wa nje ni issue ya wazazi na wanafunzi (wananchi wote) Leo mtoto wa mwenzio kakosa loan unatulia kesho zamu ya mwanao na tusikusikie ukilalamika. tuungane tuwaangamize hawa wezi.
Back
Top Bottom