Kweli Watanzania tumelogwa.Amekuwa kiongozi kwa muda mrefu na kashfa nyingi, hafai kuwa kiongozi.Then kuna kikundi kinafadhiliwa kinapotosha watz kwa kampeni chafu kuwa atakuwa kiongozi hodari.HATUFAI HUYU MTU.
Tanzania imelogwa. Hii issue ya board na mikopo ya wanafunzi imekuwa ni ya wanafunzi tu, kwa wenzetu wa nje ni issue ya wazazi na wanafunzi (wananchi wote) Leo mtoto wa mwenzio kakosa loan unatulia kesho zamu ya mwanao na tusikusikie ukilalamika. tuungane tuwaangamize hawa wezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.