Nilipotea muda mrefu kiasi kwamba hata mitaa ya JF nimeshaisahau. Nadhani hata familia yangu iliishakata tamaa ya kuniona tena. Mume wangu Mwita Maranya, wanangu Zion Daughter na snowhite naomba mnipokee. Maisha ya mjini yalinimeza nikasahau familia na rafiki zangu wa JF.
Bujibuji tafadhali...
Dearest cacico, may this day bring you countless happiness and endless joy and live with peace and serenity! Happy Birthday cacico.@snowhite lete sahani umma na kisu tukate cake, usisahau kumwita na mdogo wako Zion Daughter. Mwita Maranya karibu japo nisingependa uje maana umenikera kwa...
Superman since today is your special day – it's your birthday, let me tell you what kind of a friend you are to me:
Superman, a friend like you is like no other friend.
A friend like you is a friend I don't regret meeting.
A friend like you is like a friend I can't scream at or fight...
Wanajukwaa la Sheria, hii ni thread toka jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko, nimeona niilete huku:
Kuna ndugu yetu anaitwa Athumani Hamisi. Sasa ni miaka minne tokea apate ajali, Septemba 12, 2008 eneo la Kibiti Mkoani Pwani akiwa na wenzanke, wakiwa njiani kwenda kazini Kilwa mkoani Lindi...
Habari ni ndefu lakini naomba msome mpaka mwisho. Si maneno yangu bali nimeileta kama ilivyo. Ninatumaini watakaoguswa watamsaidia.
ATHUMANI HAMIS AONGELEA MUSTAKABALIWA MAISHA YAKE NA AOMBA MSAADA
ATHUMAN HAMIS alikuwa ni mpiga picha katika vyombo vya habari...
Wakuu naomba aliyemwona Allien ampe salamu zangu. Ninapenda sana thread zake hasa zile anazoleta na picha. Kwa takribani wiki ya tatu sasa nasaka kama kuna uzi mpya kutoka kwake sipati kitu.
Jamani mpeni salamu mwambieni kuna mtu 'kam-mithi'.
Taarifa ITV muda huu namwona Nape anadai nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni chama cha mapinduzi!
Hivi huyu mtu ana akili kweli? Ina maana wote wasio katika CCM hawana haki na hii nchi?
Huwa najiuliza hivi serikali yetu inafikiria nini kuhusu huu mfululizo wa maonyesho (maonesho) mbalimbali ambayo yote yanahusu taasisi na idara za serikali. Maonyesho hayo ni kama ya Sabasaba (mwezi July kila mwaka); Nanenane (mwezi August kila mwaka); wiki ya utumishi wa umma na sasa miaka 50...
Bungeni muda huu kuna mvutano mkali kati ya serikali na kamati ya fedha kuhusu kuongeza muda wa uhai wa Consolidated Holding Corporation. Kamati na kambi ya upinzani wanataka CHC wapewe muda mrefu zaidi wkt serikali yawapa miaka 3 baadae kazi zake zipelekwe kwa Treasury Registrar!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.