Baada ya campaign ya mama sema na mwanao nikaona kweli ngoja niseme na wanangu. Nikawaita housegirl na kijana wa bustani kujua wao watampigia nani kura bila kupoteza muda kila mmoja akapiga kelele 'Lowasaaaaa!' Nikajisemea kumbe sina kazi ya kusema na wanangu hao.
Hilo tangazo ni la kichochezi na uonevu pia. Ni kwamba wanajaribu kuwaaminisha watanzania kuwa zile picha ni ushahidi kuwa Lowasa anatoa zile pesa kununua urais, kitu ambacho si kweli kwani ni mara nyingi tulikuwa tunaona Lowasa akikaribishwa kwenye shughuli mbali mbali za harambee. Siasa...
Kwa kweli watu hawaelewi wanadai wao ni Lowasa tu hata waambiwe nini wao wameshakata shauri ni Lowasa. Wakati mwingine huwa najiuliza watu wanaona nini kwa Lowasa? Na kwa upande mwingine najiuliza kwanini wanamshambulia Lowasa tu?
HERI AMEONGEA TUMEJUA MOJA SIO KILA SIKU WATU KUULIZANA YUKO WAPI ANA ATAIBUKA NA NINI. Asante Dr. Slaa, umekamilisha safari yako acha wengine waendelee. Tatizo umechelewa sana kutoa tamko na kuibuka wakati watu wameshakata shauri. Kapumzike salama.
Huyo aliyekuwa AG wa Zanzibar ni shujaa aliyeamua kujitoa muhanga kwa ajili ya wengine. Ni wacheche sana ambao wangeweza kufanya alichokifanya kwa kulinda maslahi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.