Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amemtumia salamu za heri kwa rais mwenzake wa Tanzania John Pombe Magufuli kwa kushinda uchaguzi uliomalizika hivi punde.
Rais Kenyatta amesema kuchaguliwa tena kwa Magufuli ni ishara ya upendo na imani waliyo nayo Watanzania kwa uongozi wake.
"Kwa niaba ya Watu...
Diwani wa kata ya Kaloleni kupitia CHADEMA Emmanuel Kessy leo ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kuachia udiwani wa kata ya Kaloleni.
========
Arusha.Diwani wa CHADEMA Kata ya Kaloleni jijini Arusha, Emmanuel Kessy amejiuzulu uanachama wa chama hicho na kujiunga CCM huku akitoa sababu...
PUSH messages being sent to residents of Arusha, targeting to scare them from the anticipated by - elections to feature a single ward of Sombetini are causing unrest here .
The Police, however , say they are yet to receive official complaints from recipients who have been getting short messages...
Haya ni maneno aliyazungumza Juma Duni Haji je kuna ukweli wowote kuhusu huu ushirikiano unaoonyeshwa sasa hivi kati ya
Chadema,CUF na NCCR Mageuzi au ni unafiki tu?
MADHUMUNI ya Chama cha wananchi (CUF) kama yalivyo katika Katiba yake ni, "Kuwaunganisha Watanzania wakatae uonevu...
Akihutubia wakazi wa kata ya Kaloleni leo hii mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema amewaambia wakazi wa kata ya Kaloleni ikifika tarehe 16/7/2013 hakuna kwenda kanisani kwasababu hata kumchagua kiongozi mzuri ni ibada na amewaambia wachungaji siku hiyo wasamehe mambo ya sadaka,hayo maneno...
Gazeti la nyakati limenishangaza sana kuhusu habari kwamba mtataba kati ya waislamu na waziri mkuu wa kenya na mgombea urais bwana Raila Odinga umemponza waziri Magufuli mimi nimeshangaa sana kwani mtu akiamua kuwapa jamii fulani haki kuna tatizo gani lakushangaza zaidi ni chama cha chadema...
wana jf kunakitu kinanitatiza sana jua limetulia au na lenyewe linazunguka kwenye muhimili wake maana kuna mahali nimesoma inasema nalo linazunguka kwenye muhimili wake
Kuna kauli zinazozungumzwa kila siku kwamba watu wanatakiwa kutenganisha dini na siasa na ugomvi mkubwa kati ya kikundi cha uamsho na serikali ya mapinduzi ya zanzibar ni suala la kutenganisha dini na siasa, katika mihadhara ya uamsho sheikh farid alisema kwa mujibu wa dini ya uislamu huwezi...
Kigoma Ally Malima alikuwa mwanaharakati mahiri sana alikuwa haogopi mtu penye ukweli alikuwa anasema ukweli lakini fitna alizo kumbana nazo mungu ndio anajua na mkumbuke suala la mwanafunzi kuandika jina lake kwenye mtiani yeye ndie aliye badilisha kutumika namba kwasababu kulikuwa na upendeleo...
Benki ya Kiislamu yazinduliwa
Send to a friend
Thursday, 24 November 2011 19:30
0digg
Geofrey Nyang'oro
WAFANYABIASHARA wanaofuata misingi ya dini ya Kiislamu wameanzisha benki mpya ya Kiislamu (Amana Benki L.T.D) itakayoendeshwa kwa kufuata sheria na...
Jana nilikuwa nasikiliza kituo kimoja cha radio hapa Arusha nikamsikia lema anasema mkuu wa mkoa ni mjinga asifikiri Arusha ni Bagamoyo vipi wana jf imekaaje hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.