Wakuu kuna project ambayo ninaenda kuifanya na itaniweke remotely yani maeneo ya vijiji mbalimbali ndani ya nchi sasa nina option mbili za mtandao wa simu Halotel na Airtel, sasa nichague upi interm of coverage ya kawaida tu sio inshu za internet nataka coverage ya kupiga na kupokea simu na Sms...
Fellow JF members, Wakuu nina Uwezo mkubwa wa kutambua hatari itakayotokea mbele yangu au Kujua mpangilio wa matukio yajayo bila hata kuoteshwa yani niko vizuri sana Kwenye ku connect dots na Ku predict future na Mara nyingi almost 90% Huwa napatia kabisa.
Shida yangu ni moja kuwa inshu...
Wakuu mfano mtu ameajiliwa TANAPA hili ni shirika la umma kupitia Utumishi portal je Ikitokea Kazi mfano TANESCO anaruhusiwa ku apply? Na je aki apply na akaitwa interview na akafaulu usaili.
Je, ataruhusiwa kuhama Tanapa na kwenda Tanesco?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.