30m, kwa hiyo nyumba, inatosha na kubaki.
Kupaua: hiyo 15m umeipataje?
Makadirio yangu:
1. Bati (romantile 28G) 100 x 40k = 4m
2. Mbao 2m
3. Fundi 1m
4. Misomari 200k
5. Contingency 1000k
Total 8.2m
Akitumia bati simba dumu, 5m inatosha sana
Avushwe ili akafanye nini? Wananchi tunataka mtu mwenye uwezo wa kukuza uchumi, kuwajibisha mafisadi, kulinda rasilimali zetu. Huyu tuliyenaye ameshindwa yote. Kwà maana hiyo,
hakuna haja ya kuendelea naye tena.
Mruke ruke, mkimbie, mtukane, mlie, the end is always the same: mlishindwa na MSFC ndiye aliyeenda nusu fainali.
Wakati mnalalamika, nanyi kumbukeni mechi yenu na Kagera sugar, pàle refarii alipokataa goli lao la ushindi dhidi yenu.
Malipo ni hapa hapa duniani.
Laptop, i phone na dollar 150 haviwezi kuwa na uzito wa ratili 105 kama ilivyoandikwa kwenye risiti.
Pili mtu binafsi huwezi kupeleka pesa kama mzigo.
Hizo documents ni fake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.