Ila ilipofanya CHADEMA kwa LOWASA 2015 ilikuwa sawa duuh, upinzani una safari ndefu sana Tanzania. "Upofu wa makusudi na ujinga wa upinzani ndio unaoifanya CCM iendelee kutawala Tanzania"
Hasira hizi nyie Wakenya ni kwa sababu sasa ni dhahiri idadi ya malori yanayoingia Kenya kutoka Tz ni mengi kuliko yenu yanayoingia Tz, sasa mnaona wazi kuwa kuwa kuna aspect za kiuchumi tumesha wapiga gap sasa badala ya kujitathmini mmefikaje hapo mnajififichana chuki zenu kwa madereva wa Tz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.