Ndugu yangu NATAFUTA mwenye Uwezo wa Kupata Fly Ash kwa Ajili ya Ujenzi.
Nahitaji Kiasi cha Tone 40,000
Kwa Yeyote ambae anayo naomba Tuwasiliane kwa Namba hii 0715-011022
Shamba kubwa linauzwa Maeneo ya Vigwaza Kibaha(Coast) lenye Ukubwa wa Hekta 28.13
SHAMBA hilo linagusa Rami iendayo Morogoro.
SHAMBA hilo linaumeme Mkubwa wa Viwanda 33kv na Maji ya kutosha.
Linafaa kwa Viwanda au Shule na Uwekezaji Mkubwa zaidi kulingana na Mhitaji.
UNAKARIBISHWA MHITAJI...
Wanakwenda pale Wagonjwa wanazuiwa kunywa Dawa kisa Eti anawaombea....Wakizidiwa akaona hali mbaya anapeleka pale Hospital ya Boch,Bahati mbaya wakifa wanakuwa hawajulikani wakifuatwa pale kanisani wanakana kutomjua Marehemu.....Upo umuhimu kumtazama huyu jamaa aiza yeye au kuna Watendaji wake...
0769-222997 ANAITWA JONSON MWIGUNE ni kati ya viongozi wazuri wenye kujituma vijana walio Ndani ya Tanesco, Jaribu kumtafuta kisha utatujulisha kupitia jukwaa hili yale utakayo kutana nayo kwake, Naamini hutajuta kuonana na Manager huyo
Bado mmoja yupo Chang'ombe Anaitwa Feythari anamiliki Campuny inaitwa Edha Awadhi....tabia yake ni hivyo hivyo kupiga kufunga Madereva,ila ukweli naamin ipo cku zamu yake itafika endapo hatajifunza juu ya hili la huyu mdosi....!!
Mtoa mada umekurupuka....hujui hal halis ya huo umeme unaozungumzia,fanya Research kwanza kabla ya kulaumu Tanesco.....Kabla ya kutoa mada uwe unajirizisha kwanza mwenyewe kisha late huku jukwaani.....Asante
Kati ya EL na DR ni yupi mwenye ushawishi mkubwa kulinda,kuheshimu,kujitoa kulinda Chama.....?? Yupi kati ya EL na DR anaweza kushawishi wanachama kupiga kula na wakapiga....CHADEMA KWISHAAAAAA KABISA....!!mchaga na pesa.....hawafai,MBOWE KAUZA CHAMA....DUUUUH.....!!
Mchezo mchafu sana kachezewa huyu mzee,kukaa kimya pia ni dawa.....!! Dr kaa kimya wafuasi wako wenye utimilivu wa kutosha kupambanua mambo wanafahamu ni nin kinaendelea zidi yako.....!!umuhimu wako hawawezi kuuona leo,subili muda waja kutambua umuhimu wako,ila kwa sasa kaa kimya angalia tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.