Dr Slaa namheshimu sana, ila hii tabia ya kukosoa kila jambo sikubaliani nayo. Wakati tafakari, unashusha hadhi tuliyokupa watanzania wengi.. Wewe ni raisi wa wengi nchi hii. Kikwete was right.
Umeshasema maswala ya kisheria, sio biological!!!!.. Biologically huyu mzee ana feelings ambazo wengi wetu tunajikita kufikiria tu uhalali wa kisheria tu kiasi kwamba hatuoni mzigo alio nao moyoni huyu mzee. Nasema hv kwa sababu inalekea wazi huyu nyaga ndo mkosaji. Baba anamuonya kuhusu...
Wewe unaongea kama mtu mwenye upungufu wa akili... Hv hiyo DIT imekuwa university lini mpaka iwe na ma-engineer unaowasifia. Engeneers wote wanaoheshimika atleast sasa hv wengi wametoka UDSM. Sio ujione wewe na ka degree kako ambako c ajabu hata hujafanya kazi yoyote ujione basi waliotangulia na...
Hakuna kitu kinaitwa Ghost la Marehemu, Hv tutaishi Dunia hii kwa Woga mpaka Lini. Mtu akifa habari zake zimepotea, wamzike waache kumzika, hakuna anapoenda na wala hakukuna kitakachotokea kutokana na Marehemu. Sayansi inafundisha hvo hata vitabu vya dini ( I mean Biblia here) vinafundisha hili...
Una agenda yako ya Siri, Magufuli jembe japo hajastahili kuwa Rais. Au na wewe (Jamaa yako) ni mmoja wa waliokuwa wameregister magari ya umma kwa jina binafsi.
Hv wewe nani kakudanganya CCM wanaweza kuwa madarakani 2015 mpaka udiriki kusema Slaa hata akihamia CCM hawezi kuwa Rais. CCM imeshakufa.
Kwa upande wa Magufuli ni mtendaji mzuri, sitaki kumbeza kazi anayofanya wote tumeiona, ila kwa nafasi ya Urais bado sana. Jamaa ni mtendaji mzuri ila sioni...
Huoni hata aibu...... nadhani mungu wenu ni mungu anayewataka kuwa wagomvi tu muda wote. HV na wakristo wakianza kudefine kila kinachotokea kwa mtazamo wa kidini si tutapigana mapanga....
Mimi c mchangiaji wa mada katika jamvi japo ni msomaji mada kila mara, lakini hii mada ya huyu mzanzibar imenikera sana.. Ckutaraji kama nchi hii ina watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama huyu bwana. Yaani matukio ya kutisha yanayoendelea Zanzibar anaona tu ni chuki dhidi ya uislam. Swali...
Jamani Chairman Mbowe, fanya haraka kuiamsha Ngara pia. Niko Dar lakini kwetu Ngara cjackia hamasa kama ya maeneo mengine ya kanda ya. Ziwa. Hilo pia ni jimbo la Chadema, tunahitaji kuwahamasisha tu
Hilo liko wazi sana Tanzania bara wakristo wengi kuliko waislam, pili ndo walienda shule mapema wakati waislam waking'ang'ania madrasa.
Naitamani Tanganyika yangu jamani, hawa jamaa wanaolazimisha muungano wanatunyima haki zetu.
Pamoja na mambo haya kunivutia na kumwongezea credit mheshimiwa Rais. Bado nayaona mapungfu mengi sana katika serikali yake. Mimi nakerwa sana naposikia habari za udini katika uteuzi wa nyadhifa mbalimbali kubwa, pia taasisi nyingine. Kama ni kweli Rais anailea tabia hii tutakuwa na Tanzania ya...
Nalia na mkombozi wangu chadema, mbona mnajichanganya sana. Hatukuona makubaliano ya maana baada ya kikao na jk alafu mnatuambia amekiuka kusaini. Si kweli, jipangeni vizuri na mpunguze kukurupuka. Hizi thread ni za wanachadema na watu waliochoshwa na ccm. Tafadhali msivuruge wapiga kura...
nilidhani sunshow anataka kukkusaidia maaba alitangaza abataka mchumba pia;; mzee ukagowez, ulidhani maisha ni shule tu; nina dada wengi wa nyumban ntakusaidia
Watanzania wengi wetu ni wepesi sana kusahau mabaya ya mtu. Lowasa hana jipya ni mwanasiasa mzoefu alyepikwa chungu kimoja na Rostam wakaiva vizuri katika mbinu za siasa ziwe za maneno hadaa au hata chafu sana. Anatumia fursa ya mgongano ndani ya CCM kujifanya ana uchungu na nchi na watu wake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.