sijawahi kuhudhuria mkutano wowote wa kisiasa leo nimeshawishiwa na rafiki yangu hapa shy. Mbowe kaomba ridhaa kwa wananchi red brigade wafundishwe ukakamavu au la. Wote walioudhuria wamenyoosha mikono juu wakimaanisha wafundishwe. pia amelaumu vyombo vya dola kutenda unyama dhidi ya wananchi...
Umekosea sana ninavyo ijua mimi TRA kitilya Huwa haingilii kabisa mchakato wa kuajiri. wala hua hajuii ni akinanani wameajiriwa. Kuna rafiki yangu ameajiriwa bila mizengwe yeyote. TRA wako fair sana kwenye mchakato waoo wa ajira pia maswala yote hadi interviews huwa wana outsource wenyewe...
Hakuna kitu kama hicho kwa maoni yangu siamini kwa sababu zifuatazo
1. Mkenya afike nchini na kujua msitu wa pande kuwa kunafaa kutupa mtuyaani maficho ya mauaji.
2. Afike tu na kujua kanisa la kawe? kwa nini ameacha mengine mengi ya kilokole hapo kati kwa nini kwa huyo mchungaji? naye huyo...
leo bungeni kwenye maswali ya papo kwa papo, mh tundu lisu alimuuliza waziri mkuu kuwa aliahidi kuwa watashughilikia matatizo la madaktari na mgomo hautotokea tena. Sasa kwa nini umetokea ameshindwa kazi kwanini ajiuzulu?. Waziri mkuu akasema amejitahidi sana kwa uwezo wake wote lakini bado...
Cdm wanatisha magamba hawataki tu kukubali kwa kinywa ila moyoni washaona hali yao kiutawala ifikapo 2015 kuwa mashakani. Keep up cdm. Tupo pamoja daima. Pia pole kwa wana cdm wote kwa kuondokewa na mwenyekiti mstaafu. Mungu amlaze mahala pema peponi amina
hapo Nape unasemaje huuoni unakufa na ng'ombe kama kupe jibu hili. NAOMBA NICHUKUE NAFASI HII KUMSHAURI NAPE KWA NIA NJEMA KABISA "NAOMBA NAPE UUNGANE NA VIJANA WENZIO KATIKA HILI VUGUVUGU LA MABADILIKO ACHANA NA CCM HAKITA KUFIKISHA POPOTE KISIASA ZAIDI YA KUKUPOTEZEA UMAARUFU. WEWE NAPE NAJUA...
TRA Hakuna Allowances zozote zaidi ya mishahara tena haikidhi sikuizi inatofauti kidogo sana na ya watumishi wa kawaida wa serikali. watumishi wengi vijana hukimbilia taasisi zingine kutafuta ajira baada ya kupata uzoefu. Huo ndiyo ukweli wa mambo pia wamedhibitiwa sana hata rushwa hakuna siku hizi.
wana jamvi naomba tujadili hili kwa kina. Jana nlikuwa nikizungumza na jamaa ambaye sikumfahamu kwenye baa fulani. Wakati tunaangalia kampeni ya ccm iliyokuwa inarushwa na itv yule jamaa akasema masikini(watu wa kipato cha chini) ndiyo mashabiki na wanaoipigia ccm kura. Akaendelea kusema pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.