Huyo baba alienda kwa huyo mama wa pili na mtaji alioupata kutoka kwa mama wa kwanza ndio ikaanzishwa hiyo investment kwahiyo mi naona wagawane kama watoto na sio kama wawekezaji,
Wangekuwa wawekezaji ndio wangesema wafuate percentage
Sent from my SM-T225N using JamiiForums mobile app
Wakopaji wengi huanza kulalamika baada ua kutatua changamoto zilizokuwa zinakabili mkumbuke hiyo ni kama biashara zinginge na mbaya zaidi hii hiashara i atolewa macho na wengi
Kimahesabu iko hivi
24,000,000 -10,000,000=14,000,000faida ikijumlishwa na garama za bima na uendeshaji wa biashara...
Cha kufanya Ni kwamba lazima anue tu kuwa Mama mzazi Ni mhimu kuliko huyo mwanamke kwa kuwa Kama hawezi kuwa na upendo na Mama yangu Ni kwamba ananipenda mm kweli?
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Kama una wazazi au ndugu wanategemea msaada toka kwako uwafanyie pia hasa kwenye mahitaji muhimu kwao hasa kipindi hiki Cha kuelekea mwisho na mwanzo wa mwaka ujizolee mibaraka kuanzia mwaka
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Hamnaga kitu nyie mnaanza kusingizia tatooo mtoto amejileta na anajitambua kabisa huyo we unalala na usingizu unakuja kabisa huku tako la mtoto linakugusa kabisa
Nasema hivi hamnaga kitu nyie masela kwenye Yale mambo yetu nyie hata nyeto inaonekana hamjapiga kwa style yenu mnaonekana
Sent...
Jichunguze kwa umakini uanaume wako aise, unaonekana we sio mlumendago, watu wanagonga mpaka wenye ngoma na maisha yanaendelea we umefail kisa tattoo
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Akifika mwambie hivi safari yako niliamua kuifuatilia kwa ukaribu Sana kupitia simu yako hebu nielezekeze ulivyotembea nilinganishe na nilichofuatilia kupitia simu inavyoonyesha ulikopita na ulikokuwa
Wengine mnachanganywa tu mikopo yote karibu riba ziko sawa mkiambiwa % ndogo mnakimbilia mnasahau Kato lako moja la Kila mwezo liko na hiyo %, bima, processing fee, na principle. Wanachofanya Ni kupunguza huku na kuongeza huku ni kukuchanyanyia habari
Ni rahisi kwenye hili yaani sisi wa huku manzese midizini tuanzie wapi tuelekezeni wajuvi wa hizi mambo
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Mtumie msg kuwa hela yako ingeweza kukuua umejifunza kitu kutoka kwake hivyo unamuomba msamaha kwa yaliyotokea kuqnzia leo hautamdai hiyo hela tena na Wala hauna chuki na yeye tuendelee na maisha ya kawaida tu ya Kila siku as if hakunaga kitu kibaya kilitokea then jione wewe ndo mshindi was Hilo...
We jamaa una roho mbaya maana aio mbaya Tena maana ukaona upeleke kizibiti nyumbani uwarahisishia mapongo ushahidi
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Yanii mwanamke anakupangia mpaka kinyoa mavuzi? Mnajua kupenda aise Kwanza Mimi nilijifundisha kujitegemea tokea mdogo nafanya usafi wangu mwenyewe na sihitaji msaada wa mke
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.