kwa chadema ili uwe mbunge wa viti maalum yakupasa uwe umekipigania chama na elimu yako iwe at least shahada moja,mngekuwa mnalijua hili msingeendelea kujadili upuuzi wenu
Ili uwe mbunge wa bunge la jamhuri ya tanzania yakupaswa ujue kusoma na kuandika,nyie mnaojadili elimu ya upendo mlipaswa kusisitiza kuhusu mabadiliko ya kipengele hiki kwenye katiba kama mnahitaji viongozi bora
nimesoma andiko lako lote.hujajibu hoja hata moja ya nyalandu zaidi ya personal attacks.kwani mkikaa kimya kama hamna majibu ni dhambi?
hoja zake ni hizi mkuu
NIMEAMUA kujiuzulu NAFASI yangu ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM, pamoja na nafasi zote za Uongozi ndani ya Chama...
ungejiuliza na ccm wameanza kutawala lini mpaka wameyaona haya leo ingekua poa sana.kumbuka head of state alikuwa kwenye cabinet yote haya yakitendeka.
asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.