Dogo, ile kutukana tu inaonesha wewe ndio mpumbavu?
unajua mifumo ya ajira inavyofanya kazi kwa sasa? waajira hewa wanapatikanaje kwa mifumo ya sasa ya ajira? Au hujui maana ya hewa?
Waafrica ni watu wabinafsi sana, yaani asipopata yeye anatamani na mwenzake akose. Pambana mzee upate ajira sio lazma TPA, na usiwaonee wivu walioajiriwa. Siku yako itafika utaajiriwa
Ukiona unafanya kazi husongwisongwi na polisi, TAKUKURU na vyombo vingine vya usalama jua hiyo kazi ni ya kimasKini kabisa. Nafanya kazi ambayo kwa siku naingiza zaidi ya 3m NJE YA MSHAHARA NA POSHO ila vyombo vya usalama washakuwa sehemu ya maisha yangu. nishawahi kuelezea humu japokuwa watu...
Sijaandika kubishana, nimeandika ukweli wangu..Mimi wangu ndio huo kaka kama unaona ni uongo ni vema pia maana sipo hapa kukufanya uamini?
Na sidhani kama kuna sehemu nimezungumzia wizi? Nilichosema ni kwamba natoka na zaidi ya 1m kwa siku. Ishu napataje hiyo wewe hutakiwi kujua
Vinginevyo...
Ungeamini unachoamini ingekuwa vizuri zaidi lakini nikuambie tu bado huelewi mambo mengi. Tufanye kwamba nilichoandika hapa ni uongo ili tuufunge huu mjadala wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.