Nauchukia mziki wa bongo, nachukia media nyingi za bongo. Maswali mengi yatajijenga vichwani mwenu, kujiuliza kwanini nimeamua kuandika waraka huu kwenu; Mapresenter njaa. Labda nianze na hadithi fupi. Nilipoanza mziki mwaka 2009, sikuwa na wazo la kufanya mziki ili uwe kama biashara kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.