Wakuu kiukweli nimekuwa chizi wa mapenzi nashindwa kuelewa, kuna demu npo nae lakini amebadilika sana, nina miezi nae 10 lakini amebadilika kiasi ninachonishawishi kuwa Ana mtu, ishu IPO hivi, sijawahi kumgonga kutokana na umbali mimi npo Dar yy Moro halafu anakaa kwa dadaake kila nikimtumia...
Hivi kwann mademu wakali siku hizi ni ngumu Sana kuwapata kwa baadhi ya sisi vijana tusio na hela, nimekuwa nikisoma nyuzi za member mmoja wa humu anajiita Zero IQ, Huyu jamaa anasemaga anawala mademu wakali kila siku jap ni muuza chipsi tu Ila anajipigia watoto wazuri daily, kaka zero IQ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.