Siku hizi watu hawaamini sana so yaweza Kuwa ngumu sana kumpata mtu atakayekukopenda hiyo amount. Kama mwenzetu alivyo kushauri hapo juu, ni vyema uende bank, nadhani kuna bank ambazo process yao ni ya kama 2 days (24hrs) unapewa mkopo
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Liswemwalo lipo na kama halipo laja. Hivyo ni vyema kuchukua taadhari mapema kabla mambo hayajawa ya kutisha.
Wizara husuika tupia macho eneo lililotajwa.
Napatikana hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.