Kuku gani mkuu, kuwa mwanasheria wa magamba au? Lamwai yuko wapi sasa hivi naye anakula kuku au? Ondoa huo ukungu kichwani akili zako zitakurudia ndugu.
Tatizo umetumia masaburi ktk kuwaza kwako. Hujui misingi iliyojengwa kenya baada ya uchakachuaji wa kura. Uliza ndo utajua kabita ya kenya sasa inasemaje kuhusu mamlaka ya rais. Jaribu kufikiri kwa kichwa badala ya masaburi, lol!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.