mambo mengi sana wapinzani walisha shauri, ccm kwa kuwa ni wengi na wanapalilia kitumbua chao walipinga. sasa katika hili la katiba mpya wanatakiwa waweke ushabiki pembeni na kufanya mambo kwa busara zaidi kwa maslahi ya Tz ijayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.