Nataka kuanza hii biashara ya kuuza simu za jumla. Hasa ndogo ndogo. Tafadhali Mwenye kujua abc zake anisaidie.
Mwenye contact aliwahi kufanya. Ama anayefanya hii biashara. Minimum unaweza anza na msingi kiasi gani, unatakiwa kuanza kwa kununua pieces ngapi.
Naombeni mawazo wadau
Diamond haina haja ya kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja na yote yakakosa ubora na ubunifu. Hiyo ni kutengeneza vitu vitakavyo ishi muda mfupi sana. Na ukweli unaujua kuwa watu wanapenda na ku support hivyo vitu vingi unavyovitengeza na kuvianzisha hata kama havina ubora. Si kwa sababu...
Kila mmoja ana mtizamo wake kuhusu harmonize kuondoka WCB baada ya kuvuna fadhila nyingi alizopewa na Diamond kama rais wa WCB pamoja na timu nzima.Kila mmoja yupo busy kumlaumu Harmonize kuhusu kuondoka wcb.wengine wakienda mbali na kusema atashuka kimziki.mara ndo mwisho wake..Nimeandika haya...
Poleni na mihangaiko ya kila siku
Kwanza kabisa niwieni radhi kwa kurudia mada ambayo kwa kiasi fulani imeelezewa mara nyingi.
Lengo langu kwenu wanajamii ni;
Kuomba kueleweshwa kuhusu agizo la Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli.Kuhusu vitambulisho vya ujasiriamali.Kwa ninavyofahamu mimi...
Jamani kama mtu yeyote aliyeomba diploma ya ualimu.(higher diploma )je unaomba kama university yaani mpaka uchague vyuo zaidi ya viwili.ama unachagua kimoja tu.nisaidie kwa anayejua.nataka nimwombee ndugu yangu hapa.
jamani wana jamvi mwenye ufahamu juu ya namna utaratitbu unavyofanyika.pale mtu anapokuuzia line ya sim bank.ie airtel money,tigo or mpesa..aliyosajili kwa jina lake.anatakiwa abadili vitu gani.samahani mwenye uelewa naomba ufafanuzi
natumia simu ya Samsung note 2 32gb.ila wiki sasa imepita.simu haifungui google store. hata browsers nyingine.isipokuwa opera mini.na samsung store. nimeangalia tatizo sijalipata.mwenye ufahamu anisaidie.ila mtandao upo vizuri.ila hiyo store haifunguki na browser nyingine kama uc na Mozilla.
Simu yangu ni nokia xl ila inakataa kuinstall whatsapp app.nikiidownload inakubali nikiifungua inataa kufunguka inaniandikia kuwa niunstall whatsapp nidownload tena ila nikifanya hivo tatizo linakuwa ni lile lile!tafadhali mwenye msaada anisaidie tatizo ni nini.space ipo ya kutosha nimefuta...
Wadau anaye jua wapi naweza download nyimbo za kaswida anisaidie link tafadhali.au kama anaweza kuniwekea hapa jamvini ntashukuru!.msaada wenu muhimu wadau
Anayefahamu wapi wanauza vifaa vya simu za NOKIA.Hasa screen za simu.hapa dar naomba anijuze.simu yangu ni NOKIA XL imedondoka chini na kupasua kioo chake.
Uki re seat mtihani.ukafaulu unaweza kutengenezewa cheti kimoja badala ya viwili cha kwanza na cha reseating au haiwezekani.
Natanguliza shukrani kwa mwenye ufahamu
Natumia mini pad p9 inaonesha ina 12gb jumla na zimetumika kama 700 mb ambazo nimeweka baadhi ya apps lakini nikitaka kudownload apps nyingine zinakaaa kuingia simu inaandika insufficient space. kuhusu upande wa external sdcard sijaweka.naweza kurekebisha vip hili tatizo.
Naomba anayejua fundi mzuri wa simu hapa dar anielekeze. Simu yangu imearibika spika kusikiklizana mpaka niweke loud. b'se bila hivyo siwez kusikia ..
Shukran.
naomba msaada jinsi ya kufanya screen shot kwenye instagram.na je mpaka simu zenye uwezo mkubwa au la.na njia mbadala ya kusave picha kutoka instagram.asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.