Nataka kuanza hii biashara ya kuuza simu za jumla. Hasa ndogo ndogo. Tafadhali Mwenye kujua abc zake anisaidie.
Mwenye contact aliwahi kufanya. Ama anayefanya hii biashara. Minimum unaweza anza na msingi kiasi gani, unatakiwa kuanza kwa kununua pieces ngapi.
Naombeni mawazo wadau
Kiongozi soma vizuri kabla ya kuchangia, ingawa mchango wako pia ni muhimu ila hauna uhusiano na hoja ya mdau. Yeye hazungumzii historia ya mkoa wa kagera. Bali anazungumzia matukio haribufu yaliyowahi ukumba mkoa wa kagera baada ya uhuru. Na mapendekezo kuwa serikali ingefanya jambo kutokana na...
Captain John Comba . Alijua anafanya nini aliiitoa ile tone ya nyimbo za jeshini(Chenja) lakini za vitani akaileta uraiani . Ukisikiliza nyimbo zake unasikia msisimko mwilini (too emotional song) alikuwa ana sauti ya ajabu sana.
Huwezi mlimganisha na hawa wasanii wetu wanaodhani kuimba ni kuimba...
Kwanza nikwambie kwamba uelewa wako kimziki ni wa kawaida sana. Kama layman wengine. Pili kama unachambua mziki ki zembe hivi haina haja ya thread nyingine uliyohaidi maana itakuwa na hoja dhaifu kama hii.
Back to the point. Huwezi kupima ukubwa ama udogo wa msanii kwa kigezo You Tube Viewers...
Kaka mkubwa alifia mikononi mwangu nikiwa nashuhudia ..kuanza kuangaika mpaka kukuta roho. Toka siku hiyo hofu ya kifo iliisha kwangu kabisa. Yaani kifo nakichukulia kama zawadi baada ya mateso ya duniani.
Nimwhamia halotel, Yaani 100,00/= Tigo walikuwa wanatoa gb 7. Kwa mwezi . Wamebadilisha kutoka gb 7 mpaka 2.5 . Hela hiyo hiyo 100,00/=. Kweli hapa kuna uhalali upi. Napenda kasi ya mtandao wa Tigo but for now let me switch to another side .
Ukiwa na uelewa mdogo uliofungwa ndani ya boksi. Kwa kigezo cha utamaduni wa mtanzania. Ndo unaweza kuona waandaaji wa party hiyo wana makosa na ni watenda dhambi. Lakini ukiwa Mfikiriaji huru husiye na mipaka utajua ya kwamba hiyo ni sehemu moja wapo ya uhuru wa binafsi . Je ni mambo mangapi...
Unapozungumzia kampuni yoyote kubwa ili ifanye kazi mara nyingi inawekwa katika mfumo wa hisa. Hili lipo wazi haliitaji maelezo . Hata Wasafi ina wadau wengi waliowekeza pale. Na sio Naseeb peke yake. Lakini mfumo wa hisa una taratibu zake .ukimpa mamlaka mtu mwenye hisa nyingi ama mkurugenzi...
Diamond haina haja ya kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja na yote yakakosa ubora na ubunifu. Hiyo ni kutengeneza vitu vitakavyo ishi muda mfupi sana. Na ukweli unaujua kuwa watu wanapenda na ku support hivyo vitu vingi unavyovitengeza na kuvianzisha hata kama havina ubora. Si kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.