Kwanza Hongera kwakuchukua Hatua kwaajili ya kesho yako",
Pili Hakuna mtaji mdogo,Ila ulicholenga kufungua ndo kinaweza kikubwa kuliko mtaji ulionao",
Cha kwanza kubariana na hali halisi,usilenge vitu vikubwa kwasasa anza kidogo kidogo.
pili na nakushauri usiwaze frame tafuta saiti ya kukodi...
Inawezekana Kwa mwanaume kubaki na Muonekano ule ule Kwa miezi sita au zaidi ila hilo ni ngumu Kwa mwanamke", Mwanamke anajali muonekano wake kwanza kuliko kingine chochote".
Inawezekana Kwa Mwanaume akawa Bahili ila hilo haliwezekani Kwa wanawake na watoto".
Mwanaume akipata pesa Hufikilia...
Cha Mzazi si cha Mtoto ila cha Mtoto ni cha mzazi hivyo jukumu na juhudi za kubadili maisha yao ni zao wenyewe.
Na Waambieni Wakumbuke kuwatendea wema Nyinyi Wazazi Wote wawili Maana Pepo zao zipo katikati Nyayo zenu na Duniani Mnaishi mala moja,
Wasisitizeni kuwa Thamani yao ni kubwa kuliko...
Mauajia yahusishayo wivu wa kimapenzi limekuwa Janga kubwa kwa Jamii na Nchi kwa ujumla,Inasikitisha kuona wivu wa kimapenzi ukiteketeza nguvu kazi ya Taifa Kwa vijana kuwa Wahanga wa Janga hili".
Kwa Pamoja tunaweza Punguza tatizo hili kwa kutumia njia zifuatazo,
BAADHI YA DINI ZISIZORUHUSU...
Maisha ni Yako na mamaumuzi ya mwisho ni yako pia ila hilo halimaanishi usishaurike,
Awali ya yote Nadhani ungeanza kujiuliza kwanini ukisikia Quarani Inasomwa Unalia,Na moja kwa moja majibu yako hayatapishana na kuwa ukiskiliza quaran au mawaidha mwanadamu hujiona si chochote na si lolote...
Huku zinaa ndio Ujanja, ucha Mungu ni Ushamba,
Huku Mtoto Kumtukana Mzazi au mtu aliyemzidi umri ni Kawaida,
Huku kuvaa Nusu uchi ndio Urembo na Usharobaro"Wazee kujiona vijana na Vijana kujiona Watoto Ni usasa,
Kusengenya,Kudanganya,kutapeli,Ulevi,Kutoa mimba na kutekeleza Familia ndio...
Huku Zinaa ndio Ujanja,Uchamungu ndio Ushamba"
Huku Mtoto Kumtukana Mzazi au Mtu aliyemzidi umri Ni Kawaida,
Huku kuvaa Nusu uchi Ndio urembo Na Usharobaro Wazee kujiona Vijana na Vijana kujiona Watoto Ndio usasa,
Kusengenya,Kudanganya,Kutapeli,ulevi,Kutoa Mimba na kutelekeza Familia Ndio...
Huku zinaa ndio ujanja,uchamungu ni Ushamba"
Huku Mtoto Kumtukana mzazi au mtu aliyemzidi umri ni Kawaida,
Huku kuvaa nusu uchi ndio urembo na Usharobaro,Wazee kujiona vijana na Vijana kujiona Watoto Ndio ujanja
Kusengenya,Kudanganya,Kutapeli,Ulevi, Na kutoa Mimba Ndio kwenda na wakati,
Si...
Ningependa tubadilishane mawazo, ushauri na uzoefu kwa sisi wajasiriamali na wafanyabishara jinsi ya ku balance biashara na mapenzi ili kutoweza kutoka katika barabara ya kutafuta mafanikio.
Hasa kutotoka katika njia ya biashara kwa kuharibiwa na mapenzi.
Naomba kaka, dada, mama na baba zetu...
Habarini za asubuhi wa JF,
Poleni na Msiba wa Taifa kwa kumpoteza aliyekuwa Rais wetu wa awamu ya Tano Hayatti Dr John Magufuli.
Naomba Kufahamishwa jinsi ya kuandika anuani ya makazi kwa wanaofahamu na wenye uzoefu na hayo mambo.
Naomba kuwasilisha.
Hakuna short cut ya mafanikio bro
Pambana zamu yako itafika tu
Pia mshukuru Mungu kwa yote maana anatujua kuliko tunavyojijua[emoji120][emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.