RAIS Samia Suluhu Hassan, ameamua kulikabili sakata la mgogoro wa mafuta kwa kutoa maelekezo ya kujibana katika matumizi ya ndani ya Serikali. Kwa nini hii ndio njia sahihi? Nitaeleza;
Wapo waliopendekeza kuondoa tozo mbalimbali kwenye mafuta ili bei ipungue. Ni mawazo lakini msaada wake upo...
NILIPATA kuandika miaka ya nyuma kuwa Tanzania inateswa na mambo makuu mawili; Ujuaji na ukosefu wa uadilifu.
Mosi; watu wanajua sana. Sehemu yenye kuhitaji utaalamu, yule ambaye fani haimhusu anaweza kuzungumza na kuonekana anajua zaidi.
Mwaka jana, Jumuiya ya Wanasheria Tanganyika (TLS)...
Kwenye swala la internet yenu ya fiber kwa mwezi unalipa kabla , mbadilike sana muwe kibiashara wenzenu wanakubali credit siku 30 ndio unalipa bill nyinyi hamna kabisa alafu wenzenu wanatuma reminder ya bill nyinyi hamtumi wala kumkumbusha mteja kama umenuunua 14 dec 2021 nyinyi ikifika 14 jan...
TTCL badilikeni kwakweli ,mnakuwa kero sana
Huduma zenu hamtoi bure mjue hilo , watu wanalipia
Yani mtu anaomba mje muunganishie fiber Internet na terminal yenu ipo mita 10 na alipo alafu office zenu zipo umbali wa vituo vya basi 4 na mteja alipo
Mnachukua wiki zaidi ya mbili kuja kila siku...
Worst experience on internet & customer service in Arusha region, been 2 weeks my internet connection has been disconnected. Even after renewing my subscription no changes. And now no one is picking up calls.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.