Hatuongelei Ubadhirifu na Ufisadi wala Kujua Thamani ya Rasirimali tulizonazo. Kuna Hela Za MCC tuliomba Tukanyimwa. Huo ndo mjadala.
Kujitegemea tunakokuongelea Ndio huku, Kuendelea kufanya mambo ya Ajabu kwenye Demokrasia yetu mpaka Dunia inatushangaa.
Ona Huu unafiki. Tuainishe hapa Maeneo ambayo tunasaidiwa na Hawa Wazungu kama Mtaendelea kukumbuka Shuka Asubuhi?
Mngekua hamtaki Hii misaada mngeacha kuomba na Mngesimama kuikosoa Serikali, Sio mpaka tunyimwe Baada Ya Kuomba Ndio Mjifanye Hamtaki Utegemezi.
MCC is a good Idea, kama mchakato wake huko Senate na kwa Mama Hillary wali Lobby kwa faida yao Japo ikaangukia Tz FBI ikimaliza Kazi yake tutajua,Again toa Obsession zako na Lowasaa weka Politics Aside. Unabariki kilichotokea Zanzibar!? Hauoni Uonevu wa Cybercrime Law!? haya ni masuala madogo...
Misaada Bila Masharti! Misaada Bila Motive... hv hawa Wazungu tunawachukuliaje!? kwamba wanahela nyiiingi hazinaga Kazi wala hawazioneagi Uchungu.
Nyie wenyewe ni mashahidi na fedha zenu hata kwa watoto na ndugu zenu. Mfano rahisi JPM Juzi kasema Mtoto anaesomeshwa Bure mpaka Form4 akapata...
Hakuna Nchi Huru inayoamuliwa Mambo yake LKN Makubaliano ya Kimataifa kama wewe ni Nchi Shirika ukienda Kinyume Basi wenzako hawana Budi bali kukuonyesha kwa Vitendo ili Ikusaidie kubadilika. Kwa Nchi maskini kama Yetu tegemea Vikwazo vya Kiuchumi... Hii yote ni Catalyst Uamuzi ni wetu Mkuu!!
TAMKO LA TYP JUU YA HATUA ILIYOFIKIWA NA BODI YA MCC KUSITISHA MISAADA YOTE NCHINI
Tanzania Youth Patriots (TYP) Imepokea kwa Masikitiko Makubwa Taarifa ya Maamuzi ambayo Bodi ya MCC Imeyafikia hivi karibuni, ni dhahiri shairi kuwa hata kama tunaweza kupata fedha za kujihudumia kwenye maeneo...
Hiyo sio wikileaks ya Julian Assange acheni kufanya watu wajinga ,tuwachomoleeni cables za Kweli za viongozi wenu na utumbo wanaoufanya ziwafurahishe macho ?kwa reference za uongo hutia shaka makala nzima ...
sasa Okello utan'goa kucha Tanzania nzima ??maajabu hayo..Ni Uvivu wa kufikiri na uchache wa sifa za kunadi...wangetuona na sisi tuwasaidie mbinu mbadala
sijawahi ona ujinga kama huu ..team Lowassa wanaenda sehem magazeti hayafiki nyie mmekazania siasa za mjini..tujipange jamani Naskia hawa jamaa mjini washamaliza sasahv wapo Bush ,Bashe na Hemed wabaya sana !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.