Search results

  1. D

    Vodacom tangazeni mapendekezo ya gawio 2023

    Leo nimesoma kwenye website ya Kampuni ya simu ya Safaricom Kenya ambao tayari kwa kupitia Mwenyekiti Adil na MD Ndegwa wametoa matokeo ya utendaji kifedha kwa mwaka unaoishia 31st March, 2023. Muhimu zaidi Safaricom wametangaza pia pendekezo la gawio la kes 0.62 kwa hisa. Kwa upande wa...
  2. D

    Wastaafu wa mashirika yaliyobinafsishwa tunampongeza Mr. Benedict Mgonya kwa utendaji kazi uliotukuka

    Katika uongozi wake wa muda mfupi akiwa Msajiri wa Hazina Ndg. B. Mgonya alifanikiwa kutatua kero na malalamiko ya muda mrefu yaliyowakumba wastaafu wa mashirika ya umma yaliyobinafsishwa. Kiongozi huyu ni mfano wa kuigwa kwa usikivu, busara na weledi kwa jinsi alivyotatua madai ya pensheni za...
  3. D

    Albert Chalamila kapata fursa ya kipekee kuwa kiongozi mashuhuri

    Kwa kuteuliwa upya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera baada ya kukaa benchi zaidi ya mwaka, Chalamila hana budi kumshukuru mungu na kuitumia fursa hii ya kipekee. Akiboronga amekwisha lakini akichapa kazi vizuri ataibuka kuwa mmoha wa viongozi bora siku za usoni. Kagera kwa sasa ni mkoa dormant...
  4. D

    Serikali itamke pia nyongeza ya Kima cha chini kwa Pensheni za wastaafu

    Kwa ujumla hali za wafanyakazi na wastaafu kwa kipindi cha miaka 7 iliyopita ziliathirika sana kutokana na ukosefu wa nyongeza ya malipo hayo. Baada ya tangazo la Rais Samia kuongeza mishahara kcc kwa asilimia 23.3% ni matarajio ya wastaafu kwamba serikali nao pia itawakumbuka na kutekeleza...
  5. D

    Mapendekezo ya nyongeza ya mshahara yaendane na nyongeza ya pensheni

    Kwa mara ya mwisho nyongeza ya kima cha chini kwa pensheni za wastaafu ilitekelezwa july mwaka 2015 kwa agizo la Waziri Wa Fedha Mh. Saada Mkuya kutoka ths.50,000/= hadi tsh.100,000/=. Kwa kipindi chote cha awamu ya 5 marekebisho haya muhimu kwa maelfu ya wazee wa kitanzania waliotumikia taifa...
  6. D

    Matumizi ya wimbo wa taifa kujitangaza ni goli la mkono

    Wadau leo asubuhi kwenye luninga moja nimeona tangazo/hotuba la mgombea urais akijinadi huku ukitumika wimbo wa taifa (background soundtrack) kwa ala. Nimeona kitambo mbombea akitumia "mwenge" kwenye mabango, vipeperushi n.k. Kwa maoni yangu hizi ni alama za utambulisho wa taifa na umoja wetu...
Back
Top Bottom