Search results

  1. D

    Zitto Kabwe: Tume ya sasa ya Uchaguzi (NEC) inapaswa kujiuzulu ili kuruhusu kupatikana kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)

    Well said comrade. Kwa Tanzania mahitaji ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ni safari ndefu. Kwa kadri madai ya haki za demokrasi ktk nchi yetu bado yanategemea utashi na fadhila ya Rais ambaye ni kada wa chama tawala tukubali nchi yetu yahitaji maombi.
  2. D

    Kikokotoo turufu ngumu kwa CCM na Serikali yake

    Ndugu yangu pamoja na maelezo ya kishujaa ya mbunge wa Arusha bungeni kuhusu janga la kikotoo cha pensheni za wastaafu, sasa subiri siku ya Mei Mosi wiki chache zijazo utaona vyama vya wafanyakazi wanavyosifu viongozi wa serikali. Baadhi ya viongozi hawa wengine wakiwa mawaziri wa muda mrefu...
  3. D

    Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

    Na katika hali hii kima cha chini cha pensheni kwa wastaafu imebaki kuwa Tshs. 100,000/= kwa mwezi tangu utawala ya Kikwete 2015 - miaka 9 iliyopita. Tunaambiwa eti wataalam wanaangalia hesabu za mifuko ya pensheni kuona kama kuna uwezekano wa kufanya mabadiriko, ambayo kiutaratibu yanatakiwa...
  4. D

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Pamoja na dhulma zote hizi dhidi ya wastaafu ambao walikuwa wafanyakazi wa umma, TUCTA siku zote wako mstari wa mbele kwenye maandamano ya sherehe za Mei mosi. Only in Tanzania! Shame on you tucta and other trade unions in Tanzania.
  5. D

    Wenye CV ya Kamishna wa Uhifadhi - TANAPA Juma Kuji

    Hivi ni lini nchi yetu itakuwa na utaratibu wa kazi za aina hii kutangazwa ili watu wenye sifa/competence watume maombi na kushindanishwa kupitia mahojiano?? Utaratibu wa uteuzi umepitwa na wakati na unadumaza ufanisi ktk taasisi na mashirika ya umma.
  6. D

    Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano

    Uamuzi wa RC Chalamila kuagiza wanajeshi kufagia barabara ili kuwatisha Chadema wasiandamane unastahili kulaaniwa na kila mpenda utawala bora na demokrasia. Ni hatua ya woga/cowardice na aibu. Wanajeshi wetu wasitumiwe kulinda udikteta wa CCM hasa kwa jambo jepesi la kudai mfumo bora wa...
  7. D

    Dodoma : Hivi ndivyo BAVICHA walivyoingia Bungeni kutoa maoni yao kuhusu muundo wa Tume Huru ya Uchaguzi

    Kwa mshangao mkubwa sana mjadala kuhusu tume huru ya uchaguzi umeigharimu nchi yetu muda mrefu na mabilioni ya fedha tangu enzi za tume ya Jaji Warioba zaidi ya miaka mitano iliyopita. Nchi zote za kidemokrasia duniani hata mataifa jirani zetu wanazo tume huru za uchaguzi. Wenzetu Kenya...
  8. D

    Boniface Jacob: Polisi walioua Mlinzi wa Bar ya Boardroom Sinza wadaiwa kutumwa na RC Chalamila kukamata Wanaojiuza

    Huyu chalamila si aliwahi kuagiza huko mbeya baa zifunguliwe saa zote watu wanywe bia? Sasa kwa dsm amegeuza kibao.
  9. D

    Boniface Jacob: Polisi walioua Mlinzi wa Bar ya Boardroom Sinza wadaiwa kutumwa na RC Chalamila kukamata Wanaojiuza

    Ukahaba ndo nini?? Watanzania wa jinsia ya kike hawana uhuru ktk nchi yao?? Kwa matukio haya ni vipengere vipi vya kisheria viongozi wanatumia ktk kuhangaika na hao wanaoitwa makahaba?
  10. D

    Vurumai zaibuka kwenye kesi ya Mwabukusi, Mpale Mpoki afungiwa miezi 6, Mawakili Wajitoa

    Hivi mimi nauliza wanasheria wa Tanzania hawana uhuru wa kuzungumza (freedom of speech) kama wenzao wa Kenya? Ni vema sasa wanasheria wetu wakatafute msaada kutoka kwa wenzao kenya ili waweze kuwa huru zaidi kusimamia taaluma yao. Its not right kwa wamasheria wetu kuwa harassed kila wakati...
  11. D

    Kagasheki: Mtindo wa Makonda kuwapa tumbo joto Mawaziri haufai. Dunia nzima kuna utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi

    Ndg. Kagasheki kwa nchi za ulimwengu wa tatu kama Tanzania na ambapo upinzani na Wabunge hawana meno, jitihada na style ya Makonda vyahitajika sana. Hebu wewe jiulize ni vipi mkoa mkongwe kama Kagera tena unaopakana na nchi 3 hakuna Kituo cha basi wala Soko la Kisasa kama mikoa mingine? Wachina...
  12. D

    Kagera: Paul Makonda ampa miezi 3 Waziri wa TAMISEMI kuhakikisha soko na stendi vinaanza kujengwa Bukoba

    Msimamo na agizo hili linadhihirisha umakini na uhodari wa Makonda ktk kubainisha haki dhidi ya uonevu na ubaguzi wa muda mrefu kwa mkoa wa Kagera. CCM watavuna kura nyingi iwapo maagizo haya yatatekelezwa kwa wakati. Mikoa yote hata wilaya nyingi tyr zina vituo na masoko ya kisasa isipokuwa...
  13. D

    Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

    Ingekuwa uislamu ndiyo kigezo cha ustawi na uadilifu ni wazi nchi kama somalia, sudan, chad, mali, libya zingekuwa mbali kimaendeleo. Kwa sasa nchi hizi ndo zilizosambaratika zaidi Afrika. Upo hapo? Tuache udini na tuzingatie utendaji usioegemea itikadi za kidini bali merit. Umerudia mno kuwaita...
  14. D

    Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

    Ukweli ni kwamba huo ugalatia umejikita katika elimu na maendeleo kote duniani. Ndo maana zaidi ya 80% ya nchi zilizoendelea ni asili ya ugalatia. Jiulize kwa nini mataifa ya wagalatia yanaongoza kwa maendeleo. Jibu swali na fanya uchambuzi badala ya kulalamikia mifumo ya kidini tu.
  15. D

    Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

    Hawa wote wamepata vyeo na kazi kwa applicantions za maombi ya kazi zilipotangazwa au promotion on merit. Period. Ni tofauti kbs na teuzi za bodi ambao upendeleo wa kidini au kabila waweza kubainika. Try to be logical and analytical in your arguments.
  16. D

    Kikatiba Rais Samia yuko sahihi kumteua Naibu Waziri Mkuu

    Ni kweli na Rais Nyerere aliwahi kusema katiba ya tanzania inampa Rais mamlaka za kifalme na kisultani. Mathalani mapema mwaka huu tumeona Jaji wa Mahakama ya Rufaa akiteuliwa kuwa mshauri wa Rais Ikulu. Hapa izingatiwe kwamba serikali ina Wizara nzima ya katiba na sheria na Mwanasheria Mkuu wa...
  17. D

    Taaluma isiyo na maadili sio taaluma. Hongera AG kwa kulisimamia hili lakini kwanini usimfutilie mbali Uwakili wa Tundu Lissu badala ya Mwabukusi?

    Maadili popote pale hayawezi kuwa mbadala wa haki na uhuru wa kutoa maoni. Wanasheria ktk nchi jirani ya Kenya na popote ktk nchi za kidemokrasia wanatoa maoni yao na kuhutubia mikutano na hafla mbalimbali bila kubughudhiwa na mtu wala chombo chochote. Ni mahakama pekee zenye mamlaka ya kutoa...
  18. D

    Rostam Aziz awaomba radhi majaji, asema ULIMI ULITELEZA

    Kauli ya Rostam Aziz ilikuwa ni "wake up call" kwa mahakama za tanzania kujitathmini ktk utoaji haki na utendaji kazi wake na siyo mahakama ya kisutu peke yake. Watanzania wengi tulio na kesi mahakamani tungetamani mahakama zetu ziwe truly independent, fair and adhere to the rule of law...
  19. D

    Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

    A Courageous, brave, lady of integrity and truthful in the eyes of god. Mama Mugasha ni chaguo tosha kwa Jaji Mkuu wa Tanzania ajaye.
  20. D

    Mnyika: Msajili Jaji Mutungi ameitisha kikao cha Makundi mbalimbali kujadili Katiba Mpya 26/5/2023, Sisi CHADEMA hatutaenda Hatuna Imani naye!

    Hili jukumu wangeachiwa watanzania mashuhuri, wasomi na wanaokubalika k.m. Mzee Warioba; Paul Kimiti; Jenerali Ulimwengu Jaji Samata n.k.
Back
Top Bottom