Wananchi wa kawaida wa USA na viongozi wa kisiasa wamshukia kama mwewe Waziri wa kigeni mambo ya kigeni wa USA bwana mike pompeo.
Pompeo ambaye anaonekana hajui chochote kuhusu Africa, wamarekani wamemwambia.
Africa sio Nchi, shughulikia kwanza Uchaguzi wa USA.
Wamemwambia inakuaje...
Wakuu ukiacha usaliti wa Nchi na kutumika na Mabeberu
CHADEMA imejizika yenyewe kwa kuleta sera ya kujitawala kimajimbo ndani ya Tanzania
Kwa wale Watanzania ambao hawajaipitia hii sera ya CHADEMA
Ni kwamba kama wewe unatokana Kilimanjaro hurusiwi kwenda kagera hadi uende uhamiaji ni kama...
Ukiondoa chipukizi na UVCCM ambalo huandaliwa toka wakiwa wadogo kuja kuwa viongozi.
Kuna kundi kubwa sana la Watanzania wakifikisha miaka 40 huamua kuwa Wanachama wa CCM kabla ya hapa hili kundi huwa halijishughulishi sana na siasa zaidi ya ushabiki wa mdogo mdogo tu.
Makatibu wengi wa CCM...
Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo nini kaka?
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha...
Huyu Lissu asiitwe mahakamani kipindi hichi cha kampeni, Uchaguzi ukiisha ataleta visingizio hakupata muda wa kampeni ndio maana ameshindwa Uchaguzi.
Wamwache aende kila jimbo aropoke yote ili moyo wake upate amani. Baada ya kipigo Oktoba ndio arudi kwenye vimeo vyake.
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa
Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania
Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to...
Pichani ni mwenyekiti wa Chadema mkoa wa simiyu aliyebwaga manyanga anaitwa Singibala akipokelewa na viongozi wa CCM
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa simiyu amekitosa rasmi chama hicho na kujiunga na chama cha kizalendo CCM
Moja ya sababu kubwa aliyoianisha ni kuwa amechoshwa na tabia mbaya za...
Aliyekuwa Mwnyekiti wa Chadema mkoani Singida, Bwana Shabani Limu pamoja na viongozi wengine wawili wa chama hicho wamekihama chama hicho na kujiunga na CCM
Bwana Limu ambaye ameshika nafasi mbalimbali katika chama cha Chadema kwa kipichi cha takribani miaka 28 sasa amehamua kukihama chama...
Huyu dada alipata ajali katika harakati za kumtafuta kamanda mdude alivyopotea kipindi cha nyuma
Ila bahati mbaya toka apate ajali hakuna kiongozi yeyote wa Chadema mkoani Mbeya aliyeenda hata kumpelekea sabuni ya kufulia nguo
Ana muda mrefu hajatoka ndani Kwani miguu yake yote imekatika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.