Wakuu imekaaje hii ya makarani wa sensa kuchukuliwa clip ya maigizo wakati wa kuhesabu.
Yaani karani anaenda kwa mtu maarufu then akimaliza kazi yake wanaanza kuchukua video ya kuchekesha, huo sio upotevu wa muda kweli?
Wachambuzi wanahoji kuhusu jezi mpya za Simba kuchelewa kutoka mpaka Simba day ikikaribia na jezi bado hazijatoka.
Wakati Yanga wanaanza msimu na kucheza mechi ya ligi msimu mpya na jezi ya zamani mbona mlikuwa kimya?
Kwema wakuu,
Kwa wale memba maarufu humu wa mda mrefu mnaoheshimika kwenye michango yenu, Kama huna ufahamu wa jambo fulani usiwe unacomeent negative kwenye mabandiko ya watu,
Baadhi ya watu wengine sijui ni uwezo mdogo wao wakiona mtu maarufu kacomment kitu wanamini ni kweli tu nao...
Hii sasa ni chuki sio utani wa jadi
Sababu ulikuwa simba ndio unatumia hiyo advantage ili watu waamini?
Simba ilikuwa na team bora na imara sana wacha chuki zako sope
Nyie mnaokuja bar kutazama mpira kuweni wastaharabu na muziki wetu, Sio mnakuja kukaa masaa mawili na soda zenu za buku na mnataka mziki uzimwe.
Nendeni vibanda umiza.
Haji manara vipi kuhusu goli la Joash Onyango dhidi ya gwambina?
Vili kuhusu folul ya nnje ya box aliyocheza Joash Onyango dhidi ya Tusila Kisinda na mwamuzi akasema ni penati
TANESCO makato ya kodi yanakatwaje
Nimenunua umeme kwa kutumia namba za simu tofauti lakini namba zote zimekatwa
Namba zote zimenunua umeme kwa meter moja kwanini nimekatwa kodi?
Azam tv nawapongeza kwa kuandaa mapambano ya boxing na kusababisha mchezo huo kuwa na mashabiki wengi
Ushauri wangu ni kuwa mnatakiwa muwe na kipindi ambacho kinatoa elimu ya boxing kwani watazamaji wenu wengi hawana uelewa na mchezo huu.
Wanadhani ushindi ni mpaka mtu apigwe na kuanguka chini...
fanali ya kombe la shirikisho inapigwa leo Raja casablanka ya morocco vs Js kabliye ya algeria
Mchezo upo unaendelea Raja anaongoza 2-0
kwa wale wazee wakubeti hii mechi itaisha hivi hivi wekeni mizigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.