Bora ingekuwa aibu Kwa CCM Ila ni aibu Kwa Taifa letu Mtumishi WA umma kuthamini cheo kuliko uhai wa Mtanzania mwenzake ambaye si Jambazi wala mnyang'anyi
Kila Mtanzania anatakiwa kutendewa Kadri Sheria inavyotaka. Watanzania wapenda haki huwa wanaumia sana pale mtu yeyote anavyotendewa kinyume na Sheria. Watanzania wengi wanateseka sana Kwa kuonewa na ndo maana ukifuatilia hizi kesi utaona tuhuma zisizo za Msingi Wala maslahi Kwa Watanzania Ila...
Ikiwa kweli ni maoni ya wananchi ni Sawa, Lakini swali ni Huyu mheshimiwa kajuaje kwamba katiba mpya siyo kipaumbele cha wananchi? Yeye hizi taarifa kaipata wapi, kawahoji wananchi wangapi? Isije ikawa ni hisia zake na siyo maoni ya wananchi.
Naona hii inaweza kutupeleka kwenye RICHMOND nyingine. Sielewi kwanini Watanzania tunafanya kazi Kwa kusoma upepo wa watawala na si uzalendo dhidi Taifa letu.
Kuna watu Wana Diploma na wengine Bachelor ndiyo wamepata uteuzi katika Ofisi za serikali. Kwa Nchi yetu kinachoangaliwa ni unafahamiana na nani? He Una ndugu yako au rafiki yako anayeweza kukusemea? Vinginevyo turidhike kufanya kazi popote Kwa ajili ya Watanzania wenzetu. Ni vema vyombo...
Mkuu umenena. Ni vema wawakilishi wetu wawe makini, wasipitishe hizi kanuni na Sheria kishabiki na Kwa Lengo la kuwaumiza wengine, kwani ipo siku itawaumiza na wao. Ni vema wakaangalia maslahi ya Taifa letu
Kuwalipa Wawakilishi wasio na dhamana ya Chama chochote cha siasa Kwa kutumia Fedha za umma sidhani kama ni Sawa, labda Tu Kwa Matumizi mabaya ya madaraka inawezekana
Jambo la Msingi ni kwanini Katiba ikiukwe Kwa ajili ya kuinufaisha chama au kikundi fulani cha watu? Katiba na kanuni zetu zimesema mwakilishi WA wananchi lazima adhaminiwe na Chama cha siasa, sasa Hawa hawana dhamana ya Chama chochote cha siasa lakini wanalipwa stahiki za kibunge na Spika na...
Watanzania wangefunga Kwa Maombi pengine Mwenyezi Mungu angechelewesha hili kutokea. Sina hakika kama Watanzania wote hatumpendi JPM. Wasaidizi wa Rais ni vema hili lisitokee wakati mwingine. Hamkututendea hali Watanzania
Lakini lengo la kuwapatia watoto wetu maarifa ni nini? Hayo maarifa wakayatumie wapi nje au ndani ya nchi yetu. Lugha yetu ya Taifa ni ipi? Tusiige kila kitu, kwanini tunapenda kukuza utamaduni wa wenzetu, tunapuuza WA kwetu?
Mwache afanye anavyotaka, yenye si ndo boss au? Wewe umemwona huyo tu? Mbona Mambo mengi yanaenda ndivyo sivyo, tutulie, tuifanye kazi kila mmoja atimize wajibu wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.