Kwako wewe sishangai, hata kama angetaka waendelee kusimamia uxhaguzi bado unhekuja hapa kusifia na kuacha namba zako hapa. Itachukuwa muda kujitambua.
Juzi juzi mafuriko ya Hanang nasikia wahanga wote wanafidiwa. Ilipotokea maafa ya tetemeko Kagera tuliambiwa hajaletwa na CCM au Serikali. Sasa wakati mwingine setkali nayo inachangia kuididimiza Kagera kwa makusudi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.