Ndugu wana-forum,
Nimeona hii video clip ya Mama Mkiwa Adam Kimwanga akiishauri Serikali ya awamu ya 4 katika bunge lililopita, kuzuia sherehe ambazo zinagharimu fedha nyingi za walipa kodi pasi na manufaa yoyote....hata hivyo hili halikueleweka
Pongezi zikufikie mama, japo hukusikiwa...
Kwa kiroho safi kabisa, ama kwa hakika sikukutilia shaka lakini sikuona namna gani utalimudu genge la majambazi ya mali za Umma yaliyokuwa yakihifadhiwa na chama chako cha CCM
Kwa speed uliyoikamata sasa sina mashaka tena, Majambazi haya yalinifanya nikiangalia yale malaki mengi ninayolipa...
Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi Section 70 kila Mgombea (siyo chama/au vyama vilivyosimamisha mgombea bali mgombea mwenyewe - stand to be corrected - mf kama UKAWA wana Mgombea mmoja siyo vyama vyote vinavyounda UKAWA vitatoa mwakilishi bali ni Mgombea ataweka mwakilishi) ana wajibu wa...
Natamani kuona kama nchi tunarudi kwenye misingi ya demokrasia inayojengwa chini ya Siasa Safi...
Mwalimu alisema ili nchi iendelee inahitaji; pamoja ma mambo mengine; Siasa Safi...siyo tu Siasa bali SIASA SAFI
Misingi ambayo anaepewa ridhaa ya kuliongoza taifa hili anatokana na ushindi/ridhaa...
Siasa za Kenya za Mwaka 2002 ni miongoni mwa siasa zilizokuwa na msisimko wa aina yake katika Ukanda wa Afrika Mashariki. Ni mwaka ambao KANU iliondolewa madarakani Rasmi na Wakenya na hatimaye kufifia katika ulimwengu wa siasa.
Hata hivyo uchaguzi huu, pamoja na kuwa Wakenya wengi walishachoka...
Habarini wandugu,
Hivi karibuni familia yangu imepata zawadi ya Keyboard kutoka rafiki yetu anayeishi nje, hivyo ningependa kufahamu kama kuna kituo cha kujifunza niweze kutumia muda wangu wa jioni baada ya kazi kwenda kujifunza kwa matumizi ya familia
Nitashukuru kwa anayefahamu kama kipo...
Kwanza nianze kwa lakini nimebahatika kushuhudia siasa za Tanzania toka enzi za chama kimoja nikiwa Monduli nikishuhudia siasa za Mzee Moloimeti na hata Mtifuano wake na Mzee Lowassa mwaka 1995
Nimeshuhudia pia chaguzi nyingi za ngazi za chini (serikali za mitaa) kama vile wenyeviti wa Mitaa na...
Tunataka sera ya taifa ya Nsenene...
Kwa nini serikali hawaoni hili......
Infwact, Hivi serikali hawajui wakiwekeza kwenye viumbe hawa tukaanza kusafirisha nje ya nchi kama kule Kentucky kwa Rwechungura, Massachusetts kwa Rugemalila, Oxford ambako mwanangu Kokuberwa "anachukua" ile Masters...
Wapendwa wangu MMU,
Jukwaa hili lilikuwa manufaa sana kwangu wakati wa kujiandaa kuingia kwenye ndoa mpaka sasa nikiwa kwenye ndoa na furaha zote....those practical experiences you shared are of great value
Leo nakuja kivingine....Ni "matokeo" ya ndoa yangu
Mungu amenijaalia na mke wangu ni...
Huu ni ujumbe wangu wa furaha na Upendo kwa Wanachama wote wa TAMU (Tanzania Married Union) - JF Wing
Karibuni sana tupate ujumbe huu kutoka kwa Ambwene Mwasongwe...kuna ujumbe mzuri kwa wote
Furahieni kipindi cha ndoa maana ni kifupi na huwezi jua lini waweza pumzika..
Kwa wale wanachama wa...
Wapendwa wana MMU,
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunifanikisha na kunivusha katika hatua ya muhimu kwenye maisha yangu mnamo siku ya tarehe 24/11 ambapo nilijipatia mwenza wa maisha huko mkoani Tanga. Kama ndoto lakini imekuwa kweli na sasa siko peke yangu tena bali tu "wawili...
Wapendwa wana familia wa JF,
Napenda kuchukua nafasi hii kwanza kumshukuru Mwenye enzi yote kwa maisha yangu yote nilipokuwa kwenye kambi ya mabachela kwa miongo mitatu iliyopita
Hatimaye sasa imetosha na zimebaki siku 5 tu kuagana rasmi na kambi hii ya mabechela pale ambapo tarehe 24/11...
Wewe bwana mudogo najua iko humu JF wewe,
Haya mambo yako ya uchokonozi haya wewe mtoto sio mazuri,
Unajua kabisa kuwa sasa hivi watu tuko kwenye puresha ndani ya kyama yetu ya Mabinuzi lakini bado unaleta masikhara na chokochoko....Eeeehh, kwani ungesubiri tumalize Dodoma ukaja bunge lijalo...
Habari za majukumu ndugu zangu..
Kuna taasisi moja isiyo ya kiserikali (NGO) mkoani Arusha inayojishughulisha na kutoa huduma kwa watoto wa mazingira hatarishi ambao wanatafuta firm inayotambulika ili kuwapatia huduma ya Auditing.
Please, kama kuna anayeweza kunisaidia katika hili ani-PM then...
Plans for #Walmart in India fuel divisive #FDI debate - storyful
Many of those opposed to #FDI are linking to this 2003 article by Richard Freeman:
Global retail chains pushed for years to enter one of the world's fastest-growing retail markets and finally secured the breakthrough last...
Habari zenu ndugu zangu,
Ukweli usiopinga ni kuwa mzazi (bila kujalisha alivyo) ana sehemu kubwa na ya muhimu kwenye maisha yako katika ujumla wake. Nimelia sana leo baada ya kumuona mama mmoja leo nikitoka kanisani akilia msaada kwa kuwa anaumwa na watoto wake walipo hawana habari nae...
Wadau nimeona niwamegee vipande vya hotuba ya Martin Luther King Jr wakati huu tunapoutafuta UTU na UTAIFA wetu tena (A Call to Conscience) . Ni hotuba yake ya Tarehe 25 March 1965, Montgomery, Alabama iitwayo "Our God is Marching On" au maarufu zaidi kama "How Long, Not Long"
.
Unaweza...
Ndugu habari za shughuli,
Kwenye taasisi ninayofanya kazi tuna mpango wa kufanya ujenzi wa majengo kadha wa kadha ikiwamo majengo ya utawala kwa fedha yenye thamani kama ya 160M na nilipenda kama mngenisaidia kupata document simple to kwa ajili ya tendering.
Naamini kupata msaada wenu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.