Kwa nje, ni vikwazo sababu ya S-400, ila kwa ndani vita baridi kati ya USA against Turkey.
Hii ishu imeanzia kwenye failed coupe d'etat, ikaja ishu ya wakurd na pia kucounter influence ya turkey middle east ambayo inatishia interest za marekani
Shida ni mindset, but ni suala la muda tu, watu wanakuja na kuondoka.
Alafu wadada hawependi wanaume wanaolilia na kujibebishabebisha, ndo maana kasepa
Even if you are desperate, usionyeshe
Stupid, kwani huyu dada una copyright nae au? .
Ila bora alivyokuacha mkuu,
Mwanaume unalilia kuliko mdada!? Huu ni umama
Ukikuacha tafuta pisi nyingine tulia
Kwenye hii vita, aliyopoteza ni Armenia, kapoteza eneo na watu kwa maana ya askari
Uturuki hajashinda sababu plan zake hazijatimia
Azeri ndio kashinda
Urusi hajaingilia sababu lile eneo sio la Armenia, na pia ni kama adhabu kwa PM wa ambaye alikuwa anaegemea west na kujitengenga na Urusi
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.