Kwa wachumba tu wa temporary kule wamejaa tele tu.Msifie tu,hata kama hajapendeza.Unampata kiulaini tu.FACEBUK IZ not a gud place to find your muke au mume.
Wanakata mawasiliano,cyo kwamba hawakutaki,wanakupenda,ila wengine ujana bado unawasumbua,wanaona watakuumiza waki do halafu wakimbie.Wanawafuata wazoefu waliokomaa sector hizo,hao hata wakiachwa maumivu c makali,kama utakayo yapata wewe wakitoa and run.Mshukuru mungu wanakupenda.Mwingine...
Kwani how old r u?.Kuna some circumstances as the age goes,majukumu yakiwa mengi,mtu hustop mambo kadhaa.mwingine cyo age tu,utakuta mambo yamekuwa mengi,sasa muda wa kujitundika online fb,wakati mambo kibao unasubiria uyafanye hailet picha nzuri.Madent sawa,ndo time yao.ila mfanyakazi.Mmh.Its...
Kama mliachana kwa jambo ambalo linaweza kusameheka.kurudiana ni vizuri.lla muhakikishe hakuna kinyongo kati yenu wawili baada ya kurudiana.if its hard,bora kubreak forever..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.