Kwa kiwango cha mtaji ulichonacho ni vema ukazingatia zaidi ukaribu na ubora wa mahitaji usifikirie zaidi katika kulangua.
Nasema hivi kwa sababu kiasi utakachoamini pengine umelangua bado unaweza kujikuta unalazimika kukifidia katika nauli pengine na zaidi.
Kila la heri katika upambanaji wako.
Labda hujamuelewa, nadhani amekusudia kukukumbusha kwa mtindo wa swali ila kwa bahati mbaya umeshindwa kufanya rejea ya ulichokiandika.... Wewe uliandika kinyume chake.
Big no kiongozi..., unless uwe unaifanya/umeipata hiyo kazi kimazabe na hauna weledi wowote kazini ila kwa mfanyakazi anayejitambua na anaelewa umuhimu wake yani anajua kabisa uwepo wake unaongeza kitu katika taasisi/kampuni husika kuna wakati lazima awe na misimamo na hii hukuongezea thamani...
"Na muda huu nilisema nimpigie simu Iryn ili nimuulize tunaonana muda gani kwaajili ya mazungumzo. So baada ya kumpigia simu Iryn alisema kwa leo haitawezekana maana yuko busy hivyo tufanye kesho, na mimi nilimwambia kwa kesho itakuwa ngumu nina ratiba zangu muhim hivyo tuonane jumatano."
Na...
Pikipiki inatafuta mteja
Make: BAJAJ
Model: BOXER
Colour: BLACK
Year of Manufacture: 2018
Chombo kipo katika hali nzuri ni cha kuwasha na kuondoka, imekua ikitumika kwa matumizi binafsi, nyaraka muhimu zote zipo.
Bei ni milioni moja na laki tano taslimu (1,500,000/=). Mazungumzo kidogo yapo...
Haya mambo haya kuna katoto kalikua na haya mazoea mpaka baba yake akaweka uhasama baina yetu, ila binafsi huwa inanifariji mno na nina watoto wa hivi si haba japo waswahili na imani zetu wanadai itapelekea kuwa na kizazi cha kimagumashi
Aisee ndugu yangu sijui unataka ushauri gani mwingine maana kila unachoshauriwa majibu ni "hapana namuheshimu", "siwezi jamii inatuangalia", "hapana nikiondoka ataona namkimbia" n.k.... Futa tu huu uzi fanya unachokiamini
Nikikumbuka alichonitendea Lusubilo J. Mwakabibi nachagua kukaa kimya tu, sikuwahi kuwa na roho ya kisasi ila mabaya ya kuwakuta hawa mafedhuli kamwe hayatonipa huzuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.