Ndugu umefanya kazi nzuri ila hujamtendea haki tshabalala, maana jamaa amekuwa mzembe sana. Anapoteza mipira mingi na anakabika kirahisi. Alinitesa sana kila akiwa nampira ,fanya urudiekumtizama, anastahili 4.5
udongo wa pwani nikichanga haufai kwa kilimo cha ndizi pendwa. ndizi zinazojaribu kukubali ni kikojozi na mzuzu tena kwa kumwagilia. kuhusiana na mifugo pwani kuna wafugaji wengi na maziwa yapo mengi ya kutosha ila soko la maziwa sio zuri kwa pwani.
Hali ya joto la dar inasababisha kuhifadhi...
Mkoani simiyu dengu na mbaazi utazipata kuanzia mwezi wa nane maana dengu inapandwa mwezi wa tano. bei zinatofautiana kulingana na msimu, wanunuzi ndio wanakuja na bei zao uhitaji ukiongezeka na bei zinapanda. ukija na bei nzuri tani 50 unajaza kwa wiki moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.