Kila muosha huoshwa wako wapi kina Gadafi? ......mungu wetu anaweza nchi hii si ya ccm tu bali ya wa TZ iko siku kitaeleweka .....simbali jamani,
Dr ulimboka Mungu atakupigania tu nitafunga na kuomba kwa ajili hii.......
NIMEFURAHISHWA SANA NA HII HATA WASEME MNYIKA HARUHUSIWI KUGOMBEA UBUNGO MAGAMBA HAWATA
CHOMOKA , HAPA UBUNGO WENYEJI WAMEENDA SHULE 95% NA 100% YA WANAO HAMIA NI WASOMI JE NISOMI GAN ANAE PIGIA KURA MAGAMBA? (mkuu by the way M4C ndo nini Thanks)
naunga mkono wazo lako hao wabunge wa cdm ambao hapo dodoma waitwe faster ikiwezekana
helcopter iwafuate tukomboe nchi hii iwe fundisho kwa uozo wa serekali chama hakitatupeleka
popote.
"Jambo la msingi ni hicho kituo cha redio kitueleze wazi wazi mahojiano yao" Wakuu muelewe kwamba RC wapya walioteuliwa na JK wamepewa special deal ya kupambana na CHADEMA na kuvunja nguvu ya mzee wa Richmond kwa hiyo ni lazima huyo RC wa Arusha apambane vilivyo ili kulipa fadhila. Arusha kuweni...
Kosa ni kurudia kosa, CCM walimpitisha JK kwa fitina zao wakamwacha Salim! Watanzania tusimamie katiba mpya kwa usahihi ili tulete mabadiliko ya ukweli. Ili hata mgombea binafsi ikiwezekana awepoo. Nguvu ya Umma oyee.................
.........Tehetehe...teh.....mkuu hivi isue ya gamba bado ipo? ...usin vunje mbavu mie... Hakika patachimbika huyu jk mi sijui kama analala
usingizi napata mashaka sana.................
Jk Afaham kwamba nchi haitawalaki tena ashauriwe na washkaji kwamba wapo wanao mdanganya zaidi ....
maandamano ZNZ,WANAHARAKATI,CHUO KIKUU ,WAMACHINGA SASA CHADEMA NA NCCR- MAGEUZI. ni wazi hatuna police wakutosha
kama mimi ningekuwa jk ninge waita chadema nikawasikiliza hoja zao then tuepushe...
.......... Uwezo wako kufikiri ni mdogo sana ndo maana watu wanatoa hoja wewe unatukana hata gadafi aliwaita
wale jamaa panya na waziri membe akasema ........"nchi haitekwi kwa pick up ni wahuni hao" yakowapi leo ....?
......Ndugu zangu Hapa hakuna cha NUNDU wala Mkia tatizo Sekali haina uwajibikaji kuanzia juu watu hawafanyikazi NIkucheka cheka tu
nanii umesikia anawajibisha mwingine? labda magufuli .....na hata huko rais na hata pinda wana mwonea wivu TZ
imeoza sehem kibao ..Pale mtu anachukua passport yako...
..........Ndugu yangu umenena uwezo wa wananchi kuelewa ukochini sana tizama sisi tunaodhani twaelewa hatujui tofauti ya chama na serekali MEMBE BENARD hajatoa msimamo wa CCM ametoa msimamo wa serekali DAVID CAMERON ametoa msimamomo UK. haya ya chama ni USHAMBA wetu.
Jambo kubwa hapa ni kushikamana tumsifu Mh kikwete kama kweli kaukataa ushoga,
lakini Busara itumike tena kwa makini kabisa ilii Ktk KATIBA MPYA ITAMKWE WAZI NO USHOGA
hapa ndipo tutakapo piga bao Mh kikwete RUHUSU katiba ipitiwe na wadau wote ONDOA usa
nii katika mambo mazito ili Tujenge...
Jambo la msingi hao chadema watuhamasishe wananch wote ili tupate katiba mpya mapema
waandae mkutano wa chama watoe maadhimio yao ili wanchi wajue msimamo wa chama chao
na wasisahau tunaotaka mabadiliko ni wote c chadema tu.....
Hakika wa TZ tunaitaka CHADEMA isimame imara kama wanavyoungwa mkono na wanchi walio na uelewa
Tena chadema wasifikiri wao ndo bora sana nawakumbusha palikuwa na NCCR mageuzi ikaja CUF ya ukweli sasa ni CHADEMA
tunataka Dr slaa na mbowe Msimame imara tupate katiba mpya sio mfikiri kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.