Hii clip inatosha kabisa muda huu kuwa awe ameshahojiwa Takukuru na baadaye kupandishwa kizimbani kwa kutoa rushwa. Nasubiri watu wa haki za binadamu kumuwajibisha kama Takukuru watazembea
Ukitaka kuhakiki maneno yako nenda Sasa hivi Zanzibar uone kwa macho yako maendeleo yaliyofanyika mara baada ya kifo cha Magufuli. Hapo ndipo utaona utamu wa muungano kwa Zanzibar
Watanzania wanasubiri kitu kimoja tu hadi Sasa nacho ni kukibwaga chini Chama Cha mapinduzi na kuanza moja. Wamekata tamaa kwenda polisi na mahakamani.
Pita pita na mikiki mikiki ya Makonda Kila kukicha ni kuivua uchi serikali ya Chama chake. Ni kama huko ndani ya serikali ni uonevu na dharau dhidi ya kada ya chini. Malalamiko ya wananchi ni mengi mnoooooo. Zaidi ni madai ya kudhulumiwa na kunyanyaswa either na vyombo vya Dola au watendaji...
Mlioko jirani au huko Ivory Coast mwambieni waziri aachane na tabia ya kuingilia maandalizi mechi ya Taifa Stars.
Mara ampigie simu rais ni kuwavuruga wachezaji.
Yeye kama ana Nia njema aweke mazingira Vijana wakuzwe vipaji kwa kuandaa mazingira salama na motivation kadhaa.
Sioni kama Nia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.