Mama yangu aliniambia nikimleta mwanamke Wa kijita kwako...nisimjue kama hata mama yake mpaka akaniapia..
Yote yote kwa yote aliyoyaongea mtoa mada ni ukweli asilimia mia moja...
Baba yangu mdogo alioa mjita tayari tushamzika kaachiwa nyumba kubwa tu na hata mtoto hawakufika kuzaa...
dogo mwenyewe hata kazi hana yani hapa ndio naona wanawake akili hawana...
dogo ni baro baro tu kamaliza mwaka Jana form four..
Just imagine mpk mwanamke wa miaka 30 kadanganywa vzr tu kweli mwanaume ni mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kijana wa 2005 huku mtaani kawapa mimba wasichana watatu kwa mpigo..
Msichana wa kwanza mimba miezi 8
Msichana wa pili mimba miezi 6
Mwanamke wa tatu anamiaka 30 mimba yake ina miezi 3..
Kuna madogo wako vzr
ww jamaa una ugonjwa kichwani sio bure yani kwa siku unafungua uzi Kama tano hivi afu CHAI tupu hata kitafunwa hamna
Sent from my Infinix X609 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.