Mbona povu?
Subiri yule mama nanilii wamjaze mimba ndio utaamini ninayosema.
Sisi tuliooa wamama wanaolea watoto vizuri nyumbani hatuna shida watoto wetu wote wamefanana na sisi lakini mtu aliyeoa mke mfanyakazi possibility ya mtoto kufanana na baba yake ni 33%
Huyo mbunge aliwaona lini wanafanya huo mchezo?
Baada ya kuzungumza mambo muhimu yeye anazungumzia majani.
Majani hataathiri zaidi ya matawi na mashina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.