Sasa kuombwa pesa ya vocha ndio kutapeliwa???... kuombwa uchangie kwa hiari yako ili upate premium service ndio utapeli.. mbona sehem nyingi tuuu kunakuwaga na donation za hiari kama auko intrested unapotezea....
Lakini naamini huuu uzi hautafikia huko
Zipo mkuuuu... , pia simu zote ni computer, tena sasa ivi kuna kitu kinaitwa samsung dex... hii inafanya kaz kwenye simu kubwa kubwa za samsung yani unaproject simu yako kwenye display .. ambapo mfumo wa simu unabadirika na kuwa kama desktop ambapo unaweza kufanya kazi zote na kufungua windows...
Mimi nimejiajiri ...lakini ndugu hawaamini katika kujiajiri bado wanaona kama nacheza madange.. utakuta mtu anakuuliza vipi ajira zimetoka unaapply kweli.
Kuna watu wanasahau sana sector ya websites , web nazo zinalipa sana huku online, ukizipatia vizuri.. ukikomaa nayo ikatoboa.. watu wanapiga 1500 to 2000 $ monthly
Ukifikisha watch hours 4000 na subscribers 1000 unaweza kurequest monetization, ukikubaliwa utaanza kulipwa
Kiwango cha ulipwaji kitategemea na watazamaji wako wanatoka nchi gani
Mfano unaweza ingiza wastani wa dollar 0.8 - 3 kwa views 1000,
Malipo ukifikisha 1000 usd
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.