1st jiulize na ujibu mwenyewe,Unaweza kumtimizia mahitaji yake akiacha hiyo kazi!?,Coz mlipokubaliana kuanza kazi huko porini hukumuuliza mwana JF yeyote why now keshaanza kazi ndo uanze kuwa na wasiwasi nae?.Tulia Mtoto apige kazi bhana.
Kwa mtazamo wa haraka huyu jamaa nadhani kazoea kusimamia harusi na kuhudhuria vikao vya KAMATI za harusi za wengine sasa akili yake imebaki kuogopa kuoa ndio anajaribu kushawishi wengine wawe wajinga waogope km yeye,hayo sio maneno ya kuthubutu kuandika mbele ya jamii yenye busara na hekima km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.