kama ni hivyo anakosa uhalali wa kuchaguliwa ila waitafsiri kw maana nyengine hiyo katiba yao feki................maana hii mijamaa haichelewi kuja na kiwahili chao cha uzushi.kama kura haijapigwa that means hakuna uchaguzi na ikiwa hakuna uchaguzi that means jamaa hajachaguliwa sio.
haya tutaona lkn hawa jamaa hii katiba huwa wanaiunga wenyewe lkn hawaifuati............znz walisea mpiga kura lazima awe ameishi kwenye eneo kwa muda wa miaka 5 ndio atakuwa na uhalali wa kufanya hivyo lkn shein kura pia kapiga da lkn ndio rais wao................hi tz imekwisha usanii mtupu.
hawa hata hawaapi kabisa ila wanaimba bongo flavours..............kuapa si mchezo wanajamii...........uwe umeshika kitabu kitakatifu then uende against it basi ndio kaburi lao..........na ilivyokuwa wao si wakweli wataapia na hiyo katiba yao feki na pengine ile si katiba ila ni kitabu cha...
hongera dr usisahau taaluma yako ya elimu na pia wananchi waliokuchagua............hapa jf utapambana na vichwa ambavyo vitakusaidia sana mjengoni.always maslahi ya nchi yanakuja mwanzo kabla ya maslahi yako binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.