Princess of Wales, Kate Middleton ametangaza kuwa anapatiwa matibabu wa ugonjwa wa Saratani baada ya kugundulika nao.
Taarifa hii inakuja baada ya sintofahamu ya muda mrefu kidogo waliokuwa nayo Waingereza kuhusu kutokuonekana hadharani kwa Princess of Wales na hali yake ya kiafya ikoje
Habari...
Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
Rais BIden wa Marekani amethibitisha kuwa Majeshi ya Marekani na Uingereza yamefanya mashambulizi dhidi ya kikundi cha Houthi nchini Yemen
Rais Biden amesema mashambulizi hayo ni kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya kikundi hicho cha Houthi ndani ya Red Sea
≈==============
UK Prime Minister...
Updates
62' Mabadiliko Yanga: Wanatoka Mzize na Max wanaingia Moloko na Pacome
53: Asas FC 0-2 Yanga
52' Goaaaal: Musonda
Kipindi cha pili kimeanza
Halftime: Asas FC 0-1 Yanga
45' Asas FC 0-1 Yanga
25' Kadi ya njano: Mwamnyeto
Asas FC 0-1 Yanga
22' Goaaaal: Aziz Ki
20' Asas FC 0-0...
Updates
Half Time Yanga 0-0 Marumo
Goal
68" Aziz Ki
70" Yanga 1-0 Marumo
Goal
92" Bernard Morison
94" Yanga 2-0 Marumo
FT: Yanga 2-0 Marumo
Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu...
Mtangazaji Jerry Springer amefariki dunia
Kwa mujibu wa familia yake, Jerry Springer amefariki kutokana na ugonjwa wa Cancer
Jerry Springer amefariki akiwa nyumbani kwake katika jiji la Chicago, amefariki akiwa na umri wa miaka 79
Jerry Springer alikuwa mtangazaji wa kipindi chake maarufu...
Donald Trump has been placed under arrest at a courthouse in Lower Manhattan.
The former US president is not wearing handcuffs but will have his fingerprints taken.
After processing, Trump will attend an arraignment hearing where criminal charges will be read out
We still don’t know the exact...
Donald Trump anakuwa rais mstaafu wa kwanza wa Marekani kushitakiwa, baada wazee wa mahakama ya Manhattan jijini New York kupiga kura ya kumshitaki Trump
Trump anatuhumiwa kumlipa hela, Stormy Daniels mcheza sinema za kikubwa ili akae kimya juu ya tuhuma ya mahusiano yao.
=============...
Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake
Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022
Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na...
Aliyekuwa rais wa Soviet Union (Russia) Mikhail Gorbachev amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 91
Gorbachev amefariki akiwa anapatiwa matibabu katika Central Clinical Hospital jijini Moscow
Marehemu atakumbukwa kwa kufanikiwa kumaliza Cold War bila ya umwagaji wa damu, pia atakumbukwa kwa...
Taarifa zilizopatikana mida hii zinasema kuwa Marekani imefanikiwa kumuua Kiongozi wa Al Qaeda, Ayman al Zawahiri katika shambulio lililofanyika huko Afghanistan
Al Zawahiri alichaguliwa kuwa kiongozi wa Al Qaeda baada aliyekuwa kiongozi wa Al Qaeda, Osama Bin Laden kuuwawa na majeshi ya...
Afisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Bw Senzo Mazingiza ameomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga kwa sababu za kifamilia
Kutokana na ombi hilo kamati ya utendaji ya Yanga ilikutana leo katika Hotel ya Serena na kukubali ombi hilo la Bw Senzo
Mkataba wa Senzo na Yanga unamalizika tarehe 31/07/2022...
Yanick Bangala kiungo fundi wa Yanga usiku huu ametangazwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Tanzania Bara 2021/2022
Kwa kutwaa tuzo hiyo Bangala amewashinda mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele na beki wa Simba Henock Inonga, waliokuwa pia wanagombea tuzo hiyo
Bangala pia alikomba tuzo ya...
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amemfukuza kazi Waziri wa Nyumba Michael Gove
Michael Gove alikuwa ni mtu wa mwanzo kumwambia Boris Johnson ajiuzulu kutokana na Serikali yake kuandamwa na kashfa
Wakati huo huo Bwana Johnson amegoma kujiuzulu pamoja na kuambiwa ajiuzulu na Mawaziri wake...
Haya ngoja tuone
Mabingwa wa Tanzania Bara Dar Young Africans maarufu kama Yanga usiku huu wametangaza kumsajili tena mchezaji wao wa zamani Benard Morrison
Morrison alikuwa ni mchezaji wa Yanga kabla ya kuhamia kwa watani wao Simba SC
Mwanamuziki wa Marekani, R. Kelly leo amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la Sex Trafficking
---
Mwanamuziki wa Marekani wa miondoko ya R&B Robert Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa unyanyasaji wa kingono kwa wanawake na mabinti wadogo.
R. Kelly amepatikana na hatia za...
Leo kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Mabingwa wapya wa Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans almaarufu kama Yanga dhidi ya timu ya Mbeya City kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya
Mechi hii ya leo itatumika pia kwa kuikabidhi Yanga kombe la ubingwa wa ligi hiyo, kombe la 28...
Mabingwa wapya wa Tanzania, Dar Young Africans maaarufu kama Yanga usiku huu imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole
Kambole ambaye ni raia wa Zambia amejiunga na Yanga kama mchezaji huru baada ya kuachwa na miamba ya Afrika Kusini Kaizer Chiefs
Ujio wa Kambole ni faida kwa...
Leo tarehe 23/04/2022 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, vinara wa ligi Dar Young Africans almaarufu kama Yanga watashuka dimbani kuikaribisha timu ya Namungo FC kwenye mechi la NBC Premier League
Nitakuwa nawe kukuletea yatakayojiri kwenye uwanja huo, mpira utaanza saa moja kamili usiku kwa saa...
Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuuwawa kwa Kiongozi wa kikundi cha ISIL, Abu Ibrahim Al Qurayshi baada ya wanajeshi wa Special Force wa Marekani kushambulia eneo alilokuwepo.
Al Qurayshi alipatwa na mauti hayo eneo la Idlib magharibi ya Syria.
Al Qurayshi alitangazwa kuwa kiongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.