Habari zenyu Waungwana sana Jamvini hapa....,
Ebana, hii code ya *21*0754125125# mi nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu sana kwa takribani miaka 5 au 6 mpaka hivi sasa, na nimekuwa nikiifurahia sana...., ila sasa, of late, yan kwa hizi siku za karibuni imeanza kuwa inan'disappoint kidogo, kwa...
Mkuu dragon, na Waheshimiwa wengine wote hapa ndani, Salaam!
Tafadhali sana, naombeni msaada wa haraka wa kuipata nakala (Authority) ya Hukumu ya Kesi hii ambayo nadhani ni ya muhimu sana:
Ni Kesi inayoitwa;
"Salehe Komba na Mwenzake, dhidi ya Tanzania Posts Corporation, Revision Na. 12 ya...
Umejibiwa vema sana na wadau waliotangulia hapo juu mkuu SHIEKA, isipokuwa kwa jambo moja tu ambalo hata mimi sijakupata vema bado kutokana na maelezo yako ya utangulizi uliyoyatoa hapo juu, kwamba ulipofanya manunuzi yako ya kwanza ulianza kwa kutoa shs. 5,000= na ukaweza kununua units za umeme...
Kwa Vodacom dial **21*0754125125# kwa kufunga incoming voice calls zote and you 'll be notified by sms (in real time) of all phone numbers that tried to call you ...,
Kwa kuifungua simu ili kuruhusu voice calls kuingia just dial ##002# ..
Hope you guys 'll find this piece of information...
Ki ukweli nimeshakuwa nikiitumia sana tu hiyo Play Store kwenye simu yangu, na haikuwahi kunletea shida yoyote yani, ghafla tu siku moja nikaanza kuona huo ujumbe kila nikijaribu kuifungua, na ndio mpaka leo nikaona nijaribu ku'share nanyi humu hii kitu ili kwamba nipate msaada kama kuna...
... On additional note, nikijaribu kui'swipe back (left) ile screenshot ya kwanza kwa maana ya kuificha, ujumbe unaobaki/ na ama unaobakia kwenye screen yangu ya simu ni "NO CONNECTION, TRY LATER"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.