Habari wanajamvi!
Nazungumzia Rais kushitakiwa amalizapo muda wake (kama alifanya makosa akiwa madarakani).
Asili ya sisi Waafrika (watu weusi) ni kupenda kukomoana, majungu na visasi.
Inawezekana kabisa ukiwa madarakani ukafanya/ukasimamia jambo kwa mujibu wa taratibu lakini kwa kufanya...
Habari wanajamvi!
Nimemsikiliza kijana mwenzetu ndugu POLEPOLE katika hoja zake nyingi sana na mwisho hapa juzi akihojiwa.
IKANIBIDI nirudishe nyuma kumbukumbu hadi kipindi cha mchakato katiba mpya ulioongozwa na mzee wetu WARIOBA.
Katika ile tume,POLEPOLE alipewa ''airtime'' sana...
1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)
2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)
3. Philipo Mpango: Ingawa...
Jamaa alikuwa na tabia akitoka kazini jioni anapitia bar anaopoa malaya anakula mzigo upesi anarudi nyumbani. Kutokana na kuwahi kwake nyumbani mke akajenga imani nae.
Siku ya tukio, jamaa kama kawaida katoka kazini kapitia bar kakuta kuna malaya mpya, hakumkawiza akapeleka LUGHA, haooo kwenye...
Katika watu wanaouharibu ulimwengu ni wanasiasa,
Unaweza mkajikuta mpo watu kumi Chadema, mkidhani mna nia moja kumbe nane kati yenu ni makada wa CCM. Baadae unasikia tu wameunga juhudi halafu mnaanza kuwalaumu eti wamenunuliwa hao wamerudi kwao.
Unadhani serikali ni jinga mpaka imteue...
Mwenyekiti wa chama cha chadema mheshimiwa Freemani Mbowe ametangaza kutogombea tena uenyekiti pindi tu awamu hii itakapokwisha(2023).
OMBI:Mbowe agombee tena 2023 na baada ya hapo awamu inayofuata ndo asigombee.
SABABU:
Chadema imepitia kipindi kigumu sana hasa awamu ya 5 lakini kutokana na...
Hii mada haipo hapa kwa ajili ya kumdhalilisha mtu au jinsia fulani.Ila samahani kwa watakaokwazika.
Nakumbuka mwaka fulani(kabla sijaoa) nilitoka mkoani kuja dar kikazi.Nilipomaliza nikaona niende buza kwa lulenge kumtembelea kaka(mtoto wa baba yangu mdogo).Nilipofika kwa kaka tukawa katika...
Hivi nani aliibua mchakato wa vazi la taifa? Uliishia wapi?
AU yule aliyeshauri vitambulisho vya NIDA, vina tija gani kwa sasa?
KUNA waziri alisema tiketi zipatikane kwa njia ya mtandao sijui aliishia wapi
USAFI kila mwezi je?
Mchungaji Mtikila aliwahi sema nchi hii haiwezi kuendelea sababu...
1> Philip Mangula
Huyu kama ni umeme tungeita 'under ground cable' yaani unaona taa tu zinawaka lakini nyaya huzioni.
2> Abdulhman Kinana
Huyu yupo makini sana na ndio huyu alizunguka nchi nzima kuisafisha CCM
3> Freeman Mbowe
Huyu ndiye ameifanya CHADEMA itambulike kitaifa na kimataifa
4>...
Bila kupepesa macho hapa nainyooshea kidole CCM,ambacho mimi ni mshabiki wake.
Tatizo ni nini hasa? mmekosa washauri? hamna tena watu wa kuona mbali japo hatua hata mia moja!?
Hivi kwanini kushiba/kushibishana nyinyi tu?
NAKIRI hatuna upinzani madhubuti lakini kisiwe kigezo cha kuwanyanyasa...
Kwanza nieleze kiitikadi mimi CCM (mshabiki), ila u-CCM wangu haunizuii kuona mabaya/mazuri au 'mazurimabaya' ya chama changu au chama kingine.
Chadema ni chama cha upinzani tena kikuu lakini mimi naomba nikiite chama mbadala au chama shindani kwani kwa kipindi kifupi Chadema kimeweza kubadili...
Habari zenu wanasiasa? Nakumbuka tarehe 08/04/2021 nilikuwa nasafiri kuelekea kisiwa cha PATMO usiku kwa ndege
Mle ndani mlikuwa na abiria wengi kutoka mataifa mbalimbali ya wazungu na wengi wao wakiwa makomandoo na viongozi maarufu wa dini.
Kutoka nchi yetu tulikuwa wawili tu.Abiria wote...
Sina nia ya kukashfu wa kutukana kabila la mtu, ila hapa natoa mtazamo wangu mimi kama mtimawachi.
Tukija kwenye baadhi ya vitabu vya dini vinakiri kabisa kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu. Tumeaswa kuwapenda wake zetu, mtume Mohammad ameonya kuhusu kupiga mke akaongeza kama ikibidi mpe pigo...
Hapa ninazungumzia suala la afya za watoto wetu hawa tunaowazaa.
Inataka kuzoeleka sasa kwa watoto kuzaliwa wakiwa tayari wakiwa wameathirika na ukimwi licha njia mbalimbali za kitaalamu kuwepo.Sasa hivi mashuleni utakuta vitoto vidogo vinatumia dozi (ARVs) au ukipita CTC baadhi ya siku za jmos...
Hapa ninazungumzia suala la afya za watoto wetu hawa tunaowazaa.
Inataka kuzoeleka sasa kwa watoto kuzaliwa wakiwa tayari wakiwa wameathirika na ukimwi licha njia mbalimbali za kitaalamu kuwepo.Sasa hivi mashuleni utakuta vitoto vidogo vinatumia dozi (ARVs) au ukipita CTC baadhi ya siku za jmos...
Habari wanajukwaa!
Leo nimeona niwalete kwenu vijana wenzetu ambao kwa namna moja ama nyingine wametoa mchango katika taifa letu.
Kwanza niwe wazi katika siasa mimi ni mshabiki wa CCM,na kisoka nipo Msimbazi(simba)
Katika kipindi hiki cha miongo miwili ninakiri kuna vijana wengi tumejitahidi...
Habari zenu wakubwa!
Kuna hili suala ambalo linanishangaza. Utakuta mtu yuko na mwanamke mzuri faragha lakini wamezima taa!.!?
Binafsi napokuwa faragha naburudika sana ninapoona jumbile la mwenzi wangu vizuri.
Nafurahi kuona vile anabadilika wakati namwandaa mara arembue macho, mara...
Ndoa nyingi zimekuwa zikikumbana na misukosuko mingi ambayo wakati mwingine huwa ni mateso makubwa,wakati mwingine hupelekea kuvunjika au kudhalilika katika jamii.
LEO nitamzungumzia mwanaume.Kumbuka siku zote katika ndoa mwanaume ni kichwa (kiongozi). Sifa za kiongozi bora ni pamoja kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.