Hiyo ni miundominu inacheua baada ya kuzidiwa na uwingi wa umeme. Lakini pia kuanguka kwa nguzo shauri ya mvua. Tabata maeneo mengine hayana umeme kwa sababu nguzo zimezolewa na mvua ya el nino
Kwa kweli naungana na Mbowe. Kila kitu tunashukuru kutuletea fedha no. Fedha ni yetu. Mikopo yote hiyo ni mzigo wetu na si mwingine. Viongozi tubadilike au nitumie neno TUJISAHIHISHE na tuseme tumejenga barabara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.